Recent content by mwanajimbah

  1. M

    Aibu ya ujana

    hahahaha! Umetisha kaka,
  2. M

    Mange asutwa live

    mangi ndo nani huyu hapa TANZANIA?
  3. M

    Michepuko ya vigogo ugomvi kwa madereva na wake wa vigogo

    mkuu mbona unatoka povu hvyo kwani jiwe limekulenga au ndo walewale!
  4. M

    Ringtone za kimahaba

    sidhani kama kuna umuhimu wakumchagulia ringtone mtu mwenye simu yake, kama yeye inamfurahisha mwache awe happy mpaka atakapoingia kaburini, fanya yako, achana na yasiyokuhusu,,
  5. M

    Vannesa Mdee: Sipendi kupika

    unajua hapa watu tunashndwa kuelewana, yeye hapendi kupika sasa sio kesi, na kama vile wewe hupendi kufua inabaki the same thing, halafu mara atashndwa kumpikia mumewe, kwani alikuambia anataka kuolewa?
  6. M

    Salama Jabir punguza usela

    hahahaha! Kila mtu na maisha yake, dunia ya sasa ukifuatilia ya watu mbona utakonda! Fanya yako kisha upite =======>
  7. M

    Huyu x mume wangu ananichukia sana, hata simuelewi

    nikuambie kitu mdada, embu fanya kama unatafuta pesa, na achana na maswala yakumpigia simu inapoelekea iko siku atakudhuru pindi akikukuta na mwanaume mwingine, na pia ni mgonjwa wa mapenzi sasa kaaa mbali nae kabisa.
  8. M

    Toni Braxton, Adhabu ya Mungu kwa kutoa mimba

    Mamaae kweli kingerezaa nyoko.... Yaanii baada ya kujadili kilichooandikwaa mnajadili mavazii...
  9. M

    Wanaume tujifunze kuthaminiana na kusaidiana...

    aisee wewe mawazoo yako yamekaa kimufilisiii....duuh!!!
  10. M

    Siasa za CCM: Kodi juu, Umeme juu, maji juu, Gesi juu, Kiwanja juu, Mshahara uleule

    mbuzi kweli wewe, usitake kulinganisha tanzania na nch nyingine, nini hasa kinachofanya umeme upand gharama, ni uzalishaji au gharama za uwekezaji?? Kumbuka kuna makampuni hewa meng tu ndani ya tanzania hayalipi kodi na bado yanaendeleza huduma zao, na serikali imeyafumbia macho, sasa...
  11. M

    Ni ushamba au ujinga? Naombeni kujua

    hahahahaha! Noma sana
Back
Top Bottom