RAM ni nini?
Hiki ni kifupi cha neno Random Access Memory, Hii ni hardware memory ambayo simu yako au computer uitumia ili kufatikisha utendaji wake, RAM uhusika na kazi ya kuzishikilia application ama software zako zote ambazo zinakuwa installed kwenye simu ama computer yako na pia kuzipa...
Nadhani neno computer virus si jambo geni kwako. na kama unatumia computer basi utakuwa tayari umeshakutana nao. kuna njia nyingi sana ambazo virus huthumia ili kuingia kwenye kifaa chako baadhi ya njia hizo ni
Kupitia internet
kupitia kushare kwa external drives
Lakini virus hawa hawaoekani...
Naandika kitu nilicho na uhakikabnacho na nimeweka mfumo wa simu ambazo mmliki wa facebook anadai kuwa kufikia mwisho wa mwaka huu hazitokuwa na uwezo wa kutumia whatsapp. Na katika hiyo mifumo ipo na baadhi ya Android pia.
Kumekuwa na simu nyingi sana za smartphone lakini je, ni ipi yenye ubora?
Wengi tumekuwa tukinunua simu kwa kuangalia mtazamo wa nje yaani jinsi inavyoonekana kwa nje. Lakini kumbe kuna sifa za muhimu za kuangalia ili kuweza kutambua simu yenye ubora kwa matumizi ya mtumiaji
Hizi hapa ni sifa...
Wengi wetu tumekuwa tukinunua bidhaa kupitia mitandao bila kujua kuwa tunaweza kuingia kwenye hatari ya kuibiwa.kuna mitandao mingi sana inayotoa huduma ya kuuza na kununua bidhaa mtandaoni mfano kwa hapa Tanzania tuna Kaymu na jumia. .
Sasa hapa nimekuwekea tips za kuweza kutambua kama mtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.