Recent content by Mwanafunzi mtoro

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, hili limewahi kukutokea?

    Kwakeli Huyu mdada Numbisa akitendwa huko namkaribisha . Nampenda bila kupepesa macho Numbisa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ukianza kufanikiwa Tu Shida zinaanza

    Kama umewatoa kafara kweli basi ni vema kuchutama mana kuna eazee wanajua kifo cha kafara. Kikubwa mrudie mungu kabla kafara haijahitaji damu yako. Acha janja janja. NB Maelezo yangu yatakuwa ya kweli kama mtu ametoa kweli kafara.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa mabinti wanaolewa na miaka 15, hii si sawa

    Kwani dini ya mnyaaz inasemaje huko pwani kwenu kuhusu umri wa mwanamke kuolewa?
  4. M

    JamiiForums Tanzania TCRA yapiga marufuku wimbo wa Nay wa Mitego uitwao "Tozo"

    Wametupimia kipimo gani kujua haufai?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Maelezo ya Polisi kuhusu Panya Road hayaeleweki. Kwanini wanaua na siyo kukamata? Je, ni yale yale ya akina Zombe yanajirudia?

    Yaani umkamate mtu umpeleke gerezani afu uanze kumpa chakula cha bule. Niupotevu wa kodi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mnywaji wa pombe ukimuita mlevi anakasirika?

    Huo sio ulevi ni uraibu. Kuna tofaut ya drunker na addiction
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mnywaji wa pombe ukimuita mlevi anakasirika?

    Yeyote anaetumia kilevi ni mlevi haijalishi atalewa chakali au laa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri jamani, nimeshaharibu sinunui tena vitu used

    Unachati na yeye anakuwa na uwezo wa kufuta chat zenu! Mtandao gani huo?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

    Samahani kama jibu langu lilikukwaza mkuu. Kuhusu swali lako jibu sina. Swali lako lipo juu ya uwezo wangu kulijibu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

    Mbona mzee Mohamed Said akiwaambia hata hao machifu wenu mashujaa kina Mkwawa na Songea mbano. Walikuwa waislam mnambishia wakati kila kitu kinajionesha kwamba waarabu walishirikiana na machifu katika biashara na mambo ya kiimani. Kabishane na wengine
  11. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

    Mangungo ni kiongozi bora sana kuwahi kutokea. Kwa zama zake . Sema mtunzi wa kitabu ndio anaweza kumtengeza staa aonekane vip
  12. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

    Ukijadili mikataba ya sasa unatoka kwenye historia na kurudi kwenye siasa. Kitendo cha kuwapokea wazungu nimekizungumzia kama kukaribisha wawekezaj. Kitendo cha kuishi nao vizuri tumekizungumzia kama mwanadiplomasia. Kitendo cha kusaini mikataba mbele ya ramadhan na familia yake tunaona namna...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

    Muhimu jua Karl peter aliishi London miaka mingi alikojifunza falsafa za ukoloni . Kwahiyo alijua kuongea kingereza vizuri. Alifijia Zanzibar na kumpata mkalimani anaitwa Ramadhani. Uwezekano wa Ramadhan kujua kingereza upo kutokana na Zanzibar kutembelewa na watu wa maeneo tofaut tangu...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

    Mi nilishindwa kumjibu mana niliona kaja kama mwalimu wa history na anataka tujadili mambo kama anavyoyafundisha yeye huko shuleni.
Back
Top Bottom