Nadhani hoja zako zote zimejibiwa na wao. Bila watu kusikilizwa kungekuwa na maandamano? Je mtu anayefanya vurugu ya kuchoma vitu, hukumu yake ni kupigwa risasi?
Sasa wewe hapo fikiria tu, Kanisa lilitoa angalizo mapema muwa kuwe na maridhiano kabla ya uchaguzi. Ili mambo ya uvunjivu wa amani yasitokee, bahati mbaya halikusikilizwa. Sasa watu wamefanya vurugu, wameiba, wamevunja maduka, je hukumu yao ilikuwa kuwaua? Ni nani anapewa mamlaka ya kuua...
Wewe tu kuandika jina Mungu, unathibitisha uwepo wa Mungu, hebu taja jina la kitu chochote kisicho exist unachokifahamu. Kutaja jina tu, unaonyesha existance yake. Ukisema Mungu hayupo, inamaana ametoka kwako. Ndio hayupo, but ana exist.
Najua wewe ni mtu mwenye akili timamu. Lakini mambo unayoandika humu, huwa unajitoa akili yako na kuandika utumbo. Sasa hatari yake ni ipi? Unauzoesha ubongo, utageuka kuwa mpumbafu one day, kiutanitani hivihivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.