Recent content by MWANABUNDA

  1. MWANABUNDA

    Nifanyeje sex hainisisimui kama zamani

    Pole kaka, kula vitu asili na fanya mazoezi
  2. MWANABUNDA

    Wakuu benk ipi itanifaa kwa inshu za manunuzi online

    Exim Bank mkuu.. Wana credit card MasterCard au Visa zote ziko poa kwa online transaction..
  3. MWANABUNDA

    Kwanini Mkuu wa Mkoa anaambatana na mkuu wa Maaskari?

    Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa / wilaya huwa inajumuisha wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama mkoani au wilayani ndo sababu panakuwepo mwanajeshi,askari magereza ,polisi,uhamiaji...
  4. MWANABUNDA

    Mwanadada wa Kitanzania akamatwa China na madawa ya kulevya

    Mtoa mada Fanya utafiti kidogo maana inasemekana huyu dada si mtanzania na amekamatwa Lagos Nigeria...
  5. MWANABUNDA

    Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

    Kwani... Huyu Dada anaona maisha ni ndoa tu hawezi kaa bila ndoa... Shauri yake wenzake wanamuonja wanakimbia wala siyo waoaji..
  6. MWANABUNDA

    Afumwa akifanya mapenzi ofisini

    Bosi nae kiboko kufumaniwa kote huko bado kaweza kuendelea na mzigo.. Haikunywea?
  7. MWANABUNDA

    Rais Magufuli aamua hotuba zake zote ziwe kwa Kiswahili

    Sasa unataka kusema Dr yake ni ys Tz? We we ndo unajitekenya.. Kama hujielewi kaa kimya
  8. MWANABUNDA

    Rais Magufuli aamua hotuba zake zote ziwe kwa Kiswahili

    Kwani Dr ni kiingereza? Je ma Dr wa Urusi,German nao wanajua kiingereza?
  9. MWANABUNDA

    Dr. Rajabu Rutengwe, Mkuu wa mkoa wa Morogoro aliyetemwa, amwangukia Rais

    Yaani mara tu ameshakuwa tegemezi?... Pole sana Dr
Back
Top Bottom