Matamshi yaliyokuogopesha ni yapi? kwani wewe ni jambazi? kama si jambazi,unaogopeshwa na lipi?
Katika televisheni aliripotiwa akitamka kuwa anasema kama Mwenyekiti wa WAMA,JE, kuna tatizo gani hapo?
Hebu tukatae siasa za bughudha na fitina, hazina maana.
Hivi nani miongoni mwetu asiyejua kuwa...
Wakuu, naomba mwenye taarifa za ziada ili nijiridhishe kabla sijahitimisha katika kichwa changu.
Je, yalikuwepo makampuni/watu wengine waliokuwa washindani katika kuimiliki Hotel hiyo kabla ya kukabidhiwa mmiliki wa sasa? Ni akina nani,na wana asili za nchi gani?
Chemsha bongo kabla hujapagawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.