Recent content by Mwanabada

  1. M

    Salma Kikwete ni first lady tu au naibu waziri mkuu?

    Matamshi yaliyokuogopesha ni yapi? kwani wewe ni jambazi? kama si jambazi,unaogopeshwa na lipi? Katika televisheni aliripotiwa akitamka kuwa anasema kama Mwenyekiti wa WAMA,JE, kuna tatizo gani hapo? Hebu tukatae siasa za bughudha na fitina, hazina maana. Hivi nani miongoni mwetu asiyejua kuwa...
  2. M

    Hivi ndivyo prof. Maghembe alivyopata ubunge wake Mwanga

    Nimeziona nyaraka,kama ni za kweli na sahihi,naomba mwongozo wa wadau. Sheria ya gharama za Uchaguzi inasemaje kuhusu hilo?
  3. M

    Wikileaks' release on Tanzania Tanzania; August 2011

    Wakuu, naomba mwenye taarifa za ziada ili nijiridhishe kabla sijahitimisha katika kichwa changu. Je, yalikuwepo makampuni/watu wengine waliokuwa washindani katika kuimiliki Hotel hiyo kabla ya kukabidhiwa mmiliki wa sasa? Ni akina nani,na wana asili za nchi gani? Chemsha bongo kabla hujapagawa...
  4. M

    Chameleon Converts To Islam, Now called ‘Gaddafi’

    Thats a good decision,but Islam is not a name. To me it is a freedom of opinion/worship. May Allah bless him.
Back
Top Bottom