Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,272
- 8,484
Acha ujinga wewe! Unafikiri jinsi unavyopelekwa pelekwa na mkeo ni wanaume wote wanafanyiwa hivyo! Kama rais wako nae ni kama wewe usidhani ni jambo la kuzungumza hadharani. Ni upuuzi huo!
Filipo upo!!!! Naona mkuli umetua mahala pake.