Recent content by mwanaakida

  1. M

    Kwanini uwe na mademu wengi wakati unaweza kuwa kama Garang Deng?

    jamaa.. anatisha.. mimi mke wangu hakubali ..
  2. M

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Kwa jins alivyokuwa akifafanua mambo ya ajira nje km c mjanjamjanja lzma upigwe
  3. M

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Nilichanae inbox mpk what app nikagundua mjanja mjanja..
  4. M

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Nilistuka mapema na baada ya kunipa na ya mtu wa japan wakat yupo china na yy akajichanganya yupo chna kumbe yupo filand kwa mawazo yake alijua mm nimgen wa cod namba,,nikaona huyu tapel na nimemfatilia sana..
  5. M

    Nawezaje kuchukua michango yangu kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii?

    Hao nssf pia wanazingua mm nimekaa miez sita na bado naambiwa tena nikae miez 3 mpk nipigiwe sm dah! Wananichanganya sn.. Cjui nafanyaje
  6. M

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Sasa ww elimu pia ilikubeba n vp mtu asiyekuwa na elimu na anataka kusafir akatafute hzo ajira na anabalance ya km ml 3 Anshan...
  7. M

    Profesa Muhongo alivyoshiriki kupandisha bei ya umeme

    Kwani umeme umeshapanda?
  8. M

    Rupia: Hazina ya Mjerumani

    Have vtu vipo kwer ila mashart yake c mchezo,mm nina babu yangu yupo chita huko yy analo Jiko la stovu nimeliona na hayo maajabu yake.
  9. M

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Passport c ttzo kamilisha vtu vyote wavyitakayo, wengi wetu tunaungaunga unakuta mtu ata cheti kitambulisho cha kura hana,peleka details zilizonyoka utapewa tu.
  10. M

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Umenipa mwongozo wa kutosha, Ila vp kule JAPAN ebu npe mwongozo wa safar nzima,ghalama.
Back
Top Bottom