Recent content by MWANA MAJI

  1. M

    Riwaya: UCHU

    Nia yangu ilikuwa nipitie taratiiiiiiiibu kwa mwendo wa kunyata ila nikaona siwezi kuwa muungwana nisipo kipatia shukrani za dhati kwa kutufikishia hii kazi jamvini SHUKRANI SANA MKUU
  2. M

    TBC kama kawaida washaanza kuonyesha vita ya Kagera

    kweli aiseee....!mtu ana jiita mwana harakati halafu hajui siku muhimu za kitaifa.......'kwenye mamba na mijusi wamo
  3. M

    Are spies made or born?

    Aiseee...!safi kabisa tunapata kujifunza mambo mengi ya maana for this post nime increase more important things....'ila vitu vya maana namna hii sio hadharani ni vitu vya gharama mno.......!ndo maana naikubali sana Jf tuna ongezana ujuzi maarifa tunajenga ukaribu na kufarijiana
  4. M

    CUF: CCM imemuonea Edward Lowassa

    Wala usitishwe na kauli kama hizo kaa ukijua siku zote "MWANA SIASA MZURI" ni "MUIGIZAJI MZURI"
  5. M

    CUF: CCM imemuonea Edward Lowassa

    Nape Nauye (1)Kadi yake ya Chama ni namba ngapi......? (2)Ndani ya C.C.M ana muda gani...? ...............*..............*................. January Makamba (1)Ana umri gani........? (2)Siasa rasmi ameanza kujihusisha nayo miaka mingapi....? *............*............*............*...
  6. M

    Kwanini Usalama wa Taifa ni malaika kamili, na tofauti kati ya Mossad na mashirika mengine

    Mkuu kwanza nashukuru kwa maada husika hapo juu Pili naomaba niku kumbushe kwamba Mtu yeyote anaweza kuwa kama MALAIKA katika vigezo na misingi ntakayo elezea kabla sijaanza kuelezea naomba mtambue kwamba n'takacho ongea kinatokana na fikra zangu binafsi na si vinginevyo sababu za kufananishwa...
  7. M

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    Daaah...!ebanaeeee we ni jasiri sana ilipigwa na we ukapiga.....!hujapewa Stealing by force au Robery mzee...?
  8. M

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    kwani si ugombee ukifika huko utajua ni kiasi gani....?Daaaah.....!aiseeee unaonaje nuda unao tumia kuwaza mshahara wa Rais ni kiasi gani ungetumia kwa kupanga namna ya kuboresha kazi yako si na wewe unge sifiwa kwa ufanisi na mshahara wako ungepanda
  9. M

    Dalili za Lowassa na Kingunge kutimukia UKAWA hizi hapa

    Asiye weza kulipa tozo ya kivuko aogelee......'Daaaaah....!Mkubwa unadhani wa Tanzania woooooote ni WANA MAJI wenye kuweza michezo hiyo tupo wachache Mkuu
  10. M

    Jimbo la Arumeru Magharibi haliwezi kuwa CCM kama Jimbo la Monduli lipo Chadema!

    Tuombe Mungu asaidie Uchaguzi uwe katika hali ya Amani na uishe salama....'kaskazini itazidi kuwa juu katika hali zote
  11. M

    Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

    Unge mchukua pembeni kisha umpatie maelekezo ila nzuri zaidi iwe katika hali ya ku m'sifia ungeona hapo whats happen....'Daaaah hata offer ya lunch angekupa.....!Mmmmmh wanapenda kusifiwa haooo
Back
Top Bottom