Ameen! siyo kwamba nilkua sikutafti bali nilkua nikifunga kwa maombi usiku na mchana Mungu anioneshe, tazama imenichukua takriban miaka 13 na nusu mpaka leo maombi yangu yamejibiwa. Hakika Mungu wetu ni mwaminifu, tena ameniambia ukja PM uje ukiwa umeshaniweka moyon kabsa maana hataki nianze...
Naam Mungu kaniotesha sasa hivi kua wewe ndie ubavu wangu uliotolewa kipindi nimelala usingizi ukaumbwa wewe, na sasa ni mda wa kurejea ulipotoka! basi utanikuta PM nakusubiri.
Kijana fata hizi njia zitakusaidia
Chukua siagi changanya na mdarasini afu weka pilipili kipande kisha weka chokaa kwa mbali, afu chukua unga wa ngano miminia humo chukua mayai mawili ya bata weka humo, then chukua kipande cha papai kisage kiwe kama uji uji nacho weka humo na pia chukua ugolo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.