Wanafunzi munaoenda kufanya mtihani kesho,zingatieni yafuatayo,1.maelekesho ya msimamizi,2,soma kwa makini maswali iliuelewe kuwa linahitaji nini?.3.usihofu au kuogopa[jiamini].na sisi tunawatakia mtihani mwema na mungu awatangulie amina.
Leo jiona kama mida ya sakumi nikaona juu ya anga kuna mawingu ambayo yaliambatana na upepo ambao ulikuwa na manyunyu ya mvua, watu walikuwa wanajianda kupokea baraka ya mvua kumbe ni baridi na upendo wa kutosha.
Hawa ndio viongozi ambao wanahitajika ma jamii ilitujenge nchi yetu for economic,political even social ,endelea hivyo utalipwa na mungu,tanziania ni nchi ambayo kivajiri tungekuwa mbali sana lkn kwa sababu ya kukwepa kodi,rusha zinatupulu down.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.