Elections 2015 Hebu tuwe serious, hivi kuna mtu ana akili timamu anategemea Magufuli atakuwa Rais?

Sure wenye matatizo ya akili na wagonjwa wa akili ndio wanaweza kudhani magufuri atakua rais.

Rais wa Tanzania ni Lowassa, hakuna mjadala kuhusu hilo.
 
Hivi wewe uko sawa?Unaamini kabisa kuwa CCM itashindwa uchaguzi?Pamoja na kwamba Uchaguzi unatayarishwa na ccm, wahusika wote ccm na hata nec yenyewe ni ccm. Hata huyo mgombea wenu ni ccm. Uchaguzi wa Tanzania ni usanii tu, tunawaridhisha wanao tupa misaada tu.unajua nyie ndio mnajitafutia kuumiza roho zenu.
 
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?

Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.

Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.

Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.

Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Kwi kwi kwi MAANDISHI HAYAPOTEI MPYA....
Haya sasa ANAENDELEA KUWASHANGAZA...
 
Anatia huruma huyu baba

Ona alivyozungukwa hapa chini

Upande mmoja kuna muuza twiga na upande mwingine kuna mzee wa meno ya tembo

wengine ni kanda maalumu ya hao wawili

30.jpg
Rudi hapa
 
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?

Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.

Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.

Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.

Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
da huyu jamaa wakati anatoa huu waraka alikuwa hajui kitakachotokea nafikiri ndiyo wanaopata tabu sana sasahivi wakati jpm anafanya mambo makubwa inabidi aandike uzi mwingine wakumuomba msamaha magfuli hla sivyo hii zambi itaendelea kumtafuna sanaaaa
 
da huyu jamaa wakati anatoa huu waraka alikuwa hajui kitakachotokea nafikiri ndiyo wanaopata tabu sana sasahivi wakati jpm anafanya mambo makubwa inabidi aandike uzi mwingine wakumuomba msamaha magfuli hla sivyo hii zambi itaendelea kumtafuna sanaaaa
KIPINDI hicho ALIKUWA ni "zwazwa"
KIPINDI hichi KAWA "hobobo plus mnywa faru John wa kutupwa".
 
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?

Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.

Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.

Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.

Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Uliona mbali bado wenye akili hatumkubali huyu Kama raisi
 
Endeleeni kutomkubali tu Mana HATA CUF hawakumkubali Shein miaka yote ile lakini mwenzao Karibu anang'atuka kwi kwi kwi kwi
Ndo maana nchi iko hoi, kiuchumi wananchi wamechoka mbaya wanadanganywa na sgr, miaka mitano ni kelele tu. Bajeti inatekelezwa kwa 22%

Wajinga Kama wewe mliokosa exposure ndo mnasujudu na kuabudu
 
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?

Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.

Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.

Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.

Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.

Mfukua Makaburi inasemekana ulishakufa
 
Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?

Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.

Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.

Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.

Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.

Hahahahaha, tekinolojia bwana! Naona kuna watu wanatamani wajitie kaburini.
 
Ndo maana nchi iko hoi, kiuchumi wananchi wamechoka mbaya wanadanganywa na sgr, miaka mitano ni kelele tu. Bajeti inatekelezwa kwa 22%

Wajinga Kama wewe mliokosa exposure ndo mnasujudu na kuabudu
[/QUOTE

Koma we mi namsujudia na kumuabudu mwenyezi mungu alieniweka tumboni kwa mama yangu.

ILA

Ni kweli namhusudu Sana JPM na awamu yake.
NINA SABABU MTAMBUKA

M engi ya hovyo tuyapitiayo ni matokeo ya TAWALA ZILIZOPITA...japo Zina baadhi ya mazuri yake.....
MABAYA YAKE NI NINI?
-Kuacha watu kutengeneza vyeti feki....VILIJAA KILA KONA,WATU WAKAPATA KAZI ZENYE MARUPURUPU MENGI NA ZILIZO NYETI NA KUWANYIMA FURSA BAADHI YA VIJANA WALIOSOTA KUSOMA.....
 
Hahahahaha, tekinolojia bwana! Naona kuna watu wanatamani wajitie kaburini.
Eti kuna Yule mkenya zwazwa aliosema eti ukitaka kutuficha watz "uyafiche" maandishini...Sasa mbona tunayasoma "MAANDISHI hayo" ha ha ha ha kalamu HAITUPOTEZI...
 
Huyu bwana aliona mbali sana leo tunajionea wenyewe kila kitu tumefeli
Umefeli kwa sababu magufuli alituambia kuwa fedha za ESCROW NI Mali ya UMMA?!!!!

Umefeli kwa sababu magufuli kawabana WAUZA NGADA na WALANGUZI MIPAPA YA NCHI?!!!!

Umefeli kwa sababu magufuli kaubadilisha ule mfumo mbovu wa kutoa mikopo pale HESLB KWA VIJANA WA TAIFA HILI?!!!
 
Umefeli kwa sababu magufuli alituambia kuwa fedha za ESCROW NI Mali ya UMMA?!!!!

Umefeli kwa sababu magufuli kawabana WAUZA NGADA na WALANGUZI MIPAPA YA NCHI?!!!!

Umefeli kwa sababu magufuli kaubadilisha ule mfumo mbovu wa kutoa mikopo pale HESLB KWA VIJANA WA TAIFA HILI?!!!
Kipofu ni vigumu kuijua njia labuda kuikalili kama ulivyo kalilishwa wewe
 
Back
Top Bottom