"n bora shetan kuliko ciciem" weng mtashanga kwann nasema hvo, kwasababu shetan utamuamulu kwa jina la yesu ni lazma atatii tu, kuliko masisiem ambayo yanaipeleka tanzania yetu shimoni, anajifanya kuwa na urafk wa karb na nchi ya china mpaka ameamua kuleta wanajesh kutoka china, et n msaada...
kwanza mm nahisi huyo jamaa sio kipofu, n mbinu tu za mapuuz fulan... yeye si mlemavu dat y wakampa nafasi ya kuongoza kundi hilo, hapo ndipo naamin kipofu hawez kumuongoza kipofu mwenzake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.