Jamiiforums ndiyo sehemu ya watu wengi kutolea malalamiko Yao, binafsi Leo imenibidi!
Baada ya makato ya bank charges ni makubwa mno hasa kwa wananchi WA Hali ya chini. Mimi nimehamisha shilingi 25,000 Toka bank ya NMB kwenda tigo pesa!
Transfer fee sh. 2700 ambayo ni sawa na 10.8% ya fedha...
Kwa wanaotaka viwanja dodoma, follow Widechance real estate:
Tuna viwanja
1.Nala IFM(km 14 from city centre) Milion 2.5 - 5 kwa kiwanja kutegemeana na ukubwa wa sqm 500-1000
2.Nala karibu na nkuhungu (km 9na 1 km from Singida road)
3mill to 6 mill kwa Sqm 500-1000
3.Michese along chidachi...
Madaktari husema,almost kila mtu ana element ya ukichaa..ila wanasema ni hatari zaidi pale afya ya ubongo inapokesekana....vitu vinavyoleta athari hiyo ni pamoja na kumchukia pasipo kuwa na sababu....Magufuli alichofanya ni kutokumwonea mtu aibu..akijipambanua tofauti na viongozi waliopita, hiyo...
Mimi nina amimi...hakuna mtu humu mwenye legitimate ya kusema magufuli, kiongozi mbaya...ebu nionyeshe mbadala basi..Chadema..ndo hivyo, ukirudi CAF case ileile...ebu tuache utamani jamani, kama masrahi yako yameguswa kwa sababu nchi inanyoshwa...usipandikize chuki kwa wengine....
Sent from my...
Hallo wadau kuna viwanja wiwili kwa Msuguli km.2 kutoka Morogoro road. Ni viwanja viwili vimeungana, kila kimoja mill 15 ila kwa anayetaka kuchukua vyote viwili anapata discount.
Barabara ya mtaa inapita kwenye kiwanja, Hizo squre metre zimepimwa kwa GPS , so hakuna longolongo nauza mwenyewe...
Mfano , Chukulia una share CRDB chini ya asilimia 50 ....ujue wewe ni Minority ....Na mwenye 51 ndo mwenye Majority...hivyo Mwenye Mamuzi ya kampuni ni yule Mwenye Majority vote.....sasa ACACIA wana 30+ na BARIK 60+ hivyo mwenye Mamuzi ni BARICK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.