Mwammenywa
Member
- Feb 20, 2012
- 12
- 8
Hallo wadau kuna viwanja wiwili kwa Msuguli km.2 kutoka Morogoro road. Ni viwanja viwili vimeungana, kila kimoja mill 15 ila kwa anayetaka kuchukua vyote viwili anapata discount.
Barabara ya mtaa inapita kwenye kiwanja, Hizo squre metre zimepimwa kwa GPS , so hakuna longolongo nauza mwenyewe maana nimehamia Dodoma, nilitaka kujenga
Number yangu :0717782736
Barabara ya mtaa inapita kwenye kiwanja, Hizo squre metre zimepimwa kwa GPS , so hakuna longolongo nauza mwenyewe maana nimehamia Dodoma, nilitaka kujenga
Number yangu :0717782736