Recent content by mwamko

  1. mwamko

    Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

    Asante Sana mkuu imeonekana.
  2. mwamko

    Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

    Mwl.RCT Ikiwa kwenye setting XCAM Haionekani tatizo ni nini? Receiver ni Q23G
  3. mwamko

    Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

    Q28g yenyewe bado?
  4. mwamko

    Nauza vifaranga wa Kware, umri wiki mbili, TZS 3,500/=

    Nataka vifaranga 20. Uko wapi. Mimi nipo kimara Dsm
  5. mwamko

    Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

    =Mr. Mangi;11960079]ni watu wangap wamekuja hapa kutoa shukran kwa huduma bora za mwl? Ndivyo tulivyo wakati inaonekana tulimpongeza na kushukuru leo imekata mwl anaonekana tapeli. Kuna yeyote anajua kuhusu beinsport atujuze nayo imekata?
  6. mwamko

    Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

    Kwangu imegoma kabisa ku conect nifanyeje mwl.rct
  7. mwamko

    Msaada kwenye galaxy s3.

    Asanteni sana wakuu. Nilikua kimya ili nilete ripoti ya kueleweka baada ya kukamilisha zoezi nimeijaribu simu siku ya pili sasa naona iko poa kabisa. Kweli jamii forum ni🎓
  8. mwamko

    Msaada kwenye galaxy s3.

    Asante. Mkuu ngoja nijaribu ila nikuulize recovery mode inapatikana kwenye setting au wapi?
  9. mwamko

    Msaada kwenye galaxy s3.

    Asante Sana mkuu.
  10. mwamko

    Msaada kwenye galaxy s3.

    Asante. Nilifanya hivyo nikabaki na zile apps za factory ilifika mahali nikaifanya ya kupiga na kupokea simu tu ila tatizo bado liko pale pale baada ya masaa kadhaa simu lazima tatizo lijirudie.
  11. mwamko

    Msaada kwenye galaxy s3.

    Asante Sana mkuu ila wakati namsubiri bwana wa majeshi nifanyeje?
  12. mwamko

    Msaada kwenye galaxy s3.

    Habari zenu wakuu nina galaxy s3 original shida ni kwamba imeanza tabia ya ku-stac mpaka nitoe battery niweke upya ndipo inakaa sawa. Kinacho nikera zaidi ni kwamba wakati imestac ukinipigia kwako inaita ila kwangu kimya kabisa na muda wa warranty umeshapita nifanyeje ikae sawa maana kununua...
  13. mwamko

    vurugu za mbagala katika picha

    Wakristo wanafundishwa UPENDO, UVUMILIVU NA KUTOLIPA KISASI maana kisasi ni cha MUNGU. Ikitokea kwa sababu yoyote ile msikiti ukachomwa hakutakalika kakini leo makanisa yanachomwa na kuharibiwa kila siku na siwaoni wakifanya fujo maana MUNGU wao si dhaifu kiasi cha kutetewa na mwanadamu...
Back
Top Bottom