mwamko
Member
- Jul 6, 2012
- 15
- 1
Wakristo wanafundishwa UPENDO, UVUMILIVU NA KUTOLIPA KISASI maana kisasi ni cha MUNGU. Ikitokea kwa sababu yoyote ile msikiti ukachomwa hakutakalika kakini leo makanisa yanachomwa na kuharibiwa kila siku na siwaoni wakifanya fujo maana MUNGU wao si dhaifu kiasi cha kutetewa na mwanadamu mdhambi.MUNGU awasaidie waelewe hili.