Habar wana JF kwa yeyote mwemye Vitabu na anahitaji kuuza naomba anijuze
PHYSICS
-Rodger Muncaster
-Tom Duncan
-Nelkon 3rd Edition
CHEMISTRY
-Ramsden
-Chand class XII
Hata kama una kimoja kati ya hvo pls wasiliana nami.
Mim nipo dar JK Airpot
Habar wana JF,Jamani kwa anaesoma au aliewahi kusoma tuition ya mchikichini naomba anitajie bei ya topic hizi
1.Mechanics in Physics
2.Physical chemistry
Na pia zachukua muda gani kila moja kufundishwa?
Daah penda sana hyo suggestion yko bt amin kwamba leo watu wanahisi kama huna sera ila one day watakuja amini.
Ila tatizo wa Tz tunapenda sana kukatishana tamaa na kuona kwamba hatuwezi fanya kitu ila jua kwamba hata kama utafanikiwa kugundua njia ambayo itaconvert hata kama kea kiasi kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.