Recent content by Mwami Ntale

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ongezeko kubwa sana la chuki kutoka kwa wananchi kwenda kwa viongozi wao

    Hivi unawezaje kumpenda Samia au Mwigulu?Wana nafasi ya kuponya majeraha yaliyopo,lakini kwa nakusudi kila wakifungua viywa vyao yanawatoka maneno ya kukarahisha kiasi kwamba mpaka raia unajiuliza,hivi hawa wamesahau wajibu walionao kama wafariji namba moja?Hakuna uwajibikaji,Kazi ni kulaumu...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Takukuru yawafikisha Mahakamani watuhumiwa 23 wa TAMESA, CWT kwa matumizi mabaya ya fedha (yumo kigogo aliyedaiwa kugomea teuzi)

    Hao wahuni wa cwt walichelewa kushitakiwa.Hakuna chama nakichukia kama CWT.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    "Una uhakika huyo mtoto unayemhudumia ni wako? Pima hata DNA 🤪" Umeuliza swali la maana sana.Asilimia kubwa ya wanaume wenye watoto hawawezi kujibu swali hili kwa uhakika,iwe wale walioko kwenye ndoa au nje ya ndoa
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ingawa Dodoma pamejaa wanawake wanaojiuza, ila ni watamu kuliko Dar

    Hapa umetisha mkuu.Maana hiyo conclusion aliyotoa kwa kumla malaya mmoja haitoshi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watatu wakamatwa kwa kutusi Tume ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29

    Yaa,haya ndiyo mambo tunaweza.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hongereni wanaume mnaoweza kwenda shopping na wake zenu kisha mkarudi wote kwa furaha mimi yamenishinda

    Kwanza nikuhakikishie kuwa ukifa mkeo ataolewa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Majirani wananiona mkatili napowanyima lifti wanafunzi wao wa kike lakini acha tu nipewe lawama, hizi nyaraka za serikali ni too delicate

    Anayepinga msimamo wako ni yule tua ambaye hajapata matatizo kwa sababu tu ya fitina za wanadamu.Nilijifunza kwa jamaa yangu alitoa lift kwa wanakijiji na akapata ajali.Aisee alilipa gharama za matibabu pamoja na usumbufu mkubwa kumaliza msala huo.Sitoagi lift hovyo,hata wife akiwa na gari huwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kujinajisi au kujizini mwenyewe (kujichua)

    Mnaweka restrictions nyingi kwa maisha ya kawaida mpaka yanakuwa magumu mno.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Ole Sabaya tumshamsamehe kabisa watu wa Hai. Maisha lazima yaendelee

    Sikubaliani na wewe unaposema Lissu anaangalia short term goals.Either huwa haumusikilizi Lissu,au huwa unachagua kusikiliza yanayokufurahisha tu
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatumia mbinu gani kuchati na mchepuko wako ukiwa kitanda kimoja na mke wako?

    Unataka kuchati na mchepuko huku ukiwa kitandani na mkeo?That is so disrespectful.Weka mipaka aisee ,vinginevyo utakosa vyote.Imagine ingekuwa mkeo anachati na mchepuko wake hiku uko naye kitandani,ungejisikiaje?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa TLS, Mwabukusi: Hakuna Chama kinachopendwa Nchi hii kama CHADEMA

    Ni wajinga tu ndio hawajui huu ukweli.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Naomba jina zuri Kwa ajili ya mbwa wangu

    Usinikumbushe mambo ya kumuamini mbwa kulinda. Nilikuwa na dume mkubwa. Bajeti ya nyama kila siku. Chanjo anapata kama kawaida. Siku moja naamka asubuhi nakuta wahuni wameiba betri kwenye gari langu.Hii ilikuwa mara ya tatu naibiwa.Yaani waliruka ukuta wa fence na kuingia ndani 😳 Naamuangalia...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ujambazi umeanza tena Kisarawe je IGP na DC Magoti wanawasidiaje waathiriwa na je ni polisi wanahusika ?

    Kwani mkuu polisi wa tz wana tofauti na majambazi?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ni wazi kuwa Nchi kwa sasa haipo kwenye mikono salama

    Inshangaza jinsi wanaume wazima ,wenye nafasi za kufanya maamuzi,waliweza kukubali mwanamke mwenye uelewa mdogo hivyo wa masuala ya kimataifa kuwa rais wa nchi.Hili linawezekana tu mtu akifikiri kwa kutumia tumbo.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Chande nahisi haitatoka!

    Kila mtu mwenye akili timamu anajua kilichomo ndani ya ripoti.Ni rahisi mno kutabir8 mambo ya wanaccm
Back
Top Bottom