Recent content by Mwami Ntale

  1. M

    Samia Suluhu anatulazimisha kuwalilia wateule wake Viongizi wakati hatuna machozi🤣

    Yeye mbona alifurahia kifo cha Ally Kibao mpaka kuwaita waliokuwa wanasikitika kuwa wanazusha taharuki?
  2. M

    KERO Tume ya Utumishi wa Walimu itusaidie Walimu wa somo jipya la Business Studies, hatujui hatma ya mikataba yetu

    Ngoja kwanza kijana .Uliomba kazi ya ualimu ukijua kuwa hauna mafunzo wala cheti cha ualimu. Nina uhakika sharti mojawapo la wewe kuajiriwa ni kijiendeleza ili upate cheti cha ualimu.Sasa hapo kosa la serikali ni lipi? Kuna wakati serikali iliajiri vijana wa form six kwa masharti kama...
  3. M

    Unaijua skanka (Skunk)?

    Uzi wa wavutabangi😂
  4. M

    Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Mimi mwenyewe nilitaka kuuliza hivi.Kwanini Zanzibar isajiri meli halafu waweke bendera ya Tanzania?Wanakwepa kuwajibika kwa waliyofanya?
  5. M

    Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

    Seriously Mwigulu asikilize shida zako?Huyo huwa anajali shida zake tu
  6. M

    Ifahamike kwamba kila aliyepotea ama kuuawa kisasi chake kitalipwa kwa waliohusika ambao wote wanafahamika

    Nafurahi kuona kuna watu bado wanawaza haki.Usiku wa kiamkia leo nililala nawaza.Hivi inawezekanaje watu wauawe kwa wingi namna ile October 29 halafu hakuna quo sequence zozote kwa waliohusika ?Yaani watu wote wale waliochinjwa kwa risasi, damu yote ile iliyomwagika,na hakuna wa kuwajibika...
  7. M

    CHADEMA: Chama kisicho na uwakilishi, lakini kinatikisa misingi ya madaraka

    Uchaguzi wa chama uliomweka Lissu madarakani ulikuwa wa kupekee,ile level ya uwazi ccm hawaiwezi tena.Uchaguzi ule,pamoja na consistency ya chadema na viongozi wake kupigania haki na wajibu vimeiweka chadema juu ya vyama vyote.
  8. M

    Je, uko tayari kukutana na Tume ya Uchunguzi wa yaliyotokea Oktoba 29 2025?

    Tume imeundwa na mtuhumiwa na namba moja haifai
  9. M

    Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Hiyo avatar yako inadhihirisha ulivyo:Kubwa jinga!Hakuna siku nilikuwa disappointed kama siku ile Rey Mysterio alipomshinda The big show.
  10. M

    Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    Hili la JF kuwa China ya kifungo kisicho rasmi linashangaza.
  11. M

    Baada ya kuoa, maisha yaliendeleaje mwanangu?

    Kwangu ilikuwa mshituko wa kuona bajeti imekuwa kubwa, lakini muda mfupi baadaye nilikubali tu kuwa maisha yamebadilika.Ilikuwa ni vita ya kimya kimya kichwani mwangu,wife hakuwahi kujua.Mimi sikuwahi kula peke yangu nje ya nyumbani
Back
Top Bottom