Hivi unawezaje kumpenda Samia au Mwigulu?Wana nafasi ya kuponya majeraha yaliyopo,lakini kwa nakusudi kila wakifungua viywa vyao yanawatoka maneno ya kukarahisha kiasi kwamba mpaka raia unajiuliza,hivi hawa wamesahau wajibu walionao kama wafariji namba moja?Hakuna uwajibikaji,Kazi ni kulaumu...
"Una uhakika huyo mtoto unayemhudumia ni wako?
Pima hata DNA 🤪"
Umeuliza swali la maana sana.Asilimia kubwa ya wanaume wenye watoto hawawezi kujibu swali hili kwa uhakika,iwe wale walioko kwenye ndoa au nje ya ndoa
Anayepinga msimamo wako ni yule tua ambaye hajapata matatizo kwa sababu tu ya fitina za wanadamu.Nilijifunza kwa jamaa yangu alitoa lift kwa wanakijiji na akapata ajali.Aisee alilipa gharama za matibabu pamoja na usumbufu mkubwa kumaliza msala huo.Sitoagi lift hovyo,hata wife akiwa na gari huwa...
Unataka kuchati na mchepuko huku ukiwa kitandani na mkeo?That is so disrespectful.Weka mipaka aisee ,vinginevyo utakosa vyote.Imagine ingekuwa mkeo anachati na mchepuko wake hiku uko naye kitandani,ungejisikiaje?
Usinikumbushe mambo ya kumuamini mbwa kulinda.
Nilikuwa na dume mkubwa.
Bajeti ya nyama kila siku.
Chanjo anapata kama kawaida.
Siku moja naamka asubuhi nakuta wahuni wameiba betri kwenye gari langu.Hii ilikuwa mara ya tatu naibiwa.Yaani waliruka ukuta wa fence na kuingia ndani 😳
Naamuangalia...
Inshangaza jinsi wanaume wazima ,wenye nafasi za kufanya maamuzi,waliweza kukubali mwanamke mwenye uelewa mdogo hivyo wa masuala ya kimataifa kuwa rais wa nchi.Hili linawezekana tu mtu akifikiri kwa kutumia tumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.