Recent content by Mwami Ntale

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Hii si kweli,kwamba waume hawajui wanachotaka? Probably wewe hauko tayari kufanya yale wanayotaka.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Prida,wanaume hawataki mambo mengi 1 Hakikisha unampa amani . Constant nagging inamfanya mwanaume ajiulize mara mbili ukifika muda wa kurudi nyumbani 2 Muheshimu kama kiongozi wa familia. Mambo yote tufanyayo wanaume huwa mwisho wa siku tunatarajia yatuletee heshima 3 Kuwa mwaminifu kwake,.Hii...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku: Upinzani usimame kwenye heshima, Tumuamini Rais

    Inashangaza aisee.Huyu mzee alikuwepo wakati rafiki yake Polepole ananyakuliwa,alipatataarifa.Alikuwepo wakati mauaji yanafanyika,alikuwepo wakati akina Lissu na wafuasi wengine wa chadema wanabambikiziwa makesi makubwa.Lakini amechagua kusema hayo.Sio kwa bahati mbaya .Amechagua kutumika.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku: Upinzani usimame kwenye heshima, Tumuamini Rais

    Mzee wa hovyo!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    Shida ni kwamba kipimo kitapima HIV tu,vp kuhusu hepatitis,kaswende ,kisonono , genital warts?Jilinde kwa ndom kaka.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Yaani kubadilishana mawazo tu ndio mpaka awe na kipato cha kukuhudumia?Badilisha kichwa cha habari sema unatafuta mtu wa kufadhiri maisha yako
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini miujiza ya Mwamposa inapingwa na kudhihakiwa na watu wa Imani nyingine?

    Padre Pio na watakatifu wengine uliotaja hawakiwahi kujilimbikizia mali kama mwamposa anavyofanya.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nikupigie goti kwani nakuomba nini

    Mkuuu achana na habari za kuvishana pete .Wakati ule mchimba alitaka nimvishe pete nikamuambia wazi kabisa mimi sio mzungu.Kama unataka ahadi katika mila zetu ni KISHIKA UCHUMBA,naye akakataa.Nilitoa mahali tukafunga ndoa sasa ni mwaka wa 20 na watoto kadhaa.
  9. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani chuo cha VETA Songea kwenye mafunzo ya udereva hakina hadhi ya kutoa leseni daraja E na C?

    Naamini kila aina ya magari yana mafunzo ya namna ya kuyaendesha.Huwezi kutoka tu veta na kupewa leseni ya magari ya abiria,au leseni ya magari makubwa ya mizigo.Rudi chuo ukasome kulingana na uhitaji wako
  10. M

    JamiiForums Tanzania Uchawa ni ugonjwa wa akili? Wataalamu wa afya tusaidieni

    Naamini chawa wote ni wagonjwa wa akili.Angalia michango ya Tlaatlah,Mwanshambwa,na wenzao wote humu jukwaani.Wanayoandika humu ni aibu tupu kwa mtu mzima.Ukisoma nyuzi zao unaishia kwenye hitimisho moja tu kuwa hawa watu hawana akili.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

    Pond ulipotea.Siku nyingi ha tuoni visa vya Mama J
  12. M

    JamiiForums Tanzania Itungwe sheria kila sebule ya nyumba iwe na picha ya Rais

    Niwe mkweli,huwa napata shida kuangalia picha ya samia kwenye mabango,siwezi hata kuangalia taarifa ya habari wala kumsikiliza akiongea.Sasa niwe na picha yake sebuleni kwangu?Itaniua kwa stress
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuna Vyombo Vya Habari vimefuta hotuba ya Nchimbi kwenye mitandao ya kijamii?

    Kile alichosema Nchimbi kinakinzana na mtazamo wa Samia,Wasira ,na wakubwa wengine ambao kwa sasa 'sherehe' imenoga. Wako mezani wanakula unaleta kelele za katiba mpya?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Kamwe usianzishe malengo mapya tofauti na yale ya awali mara baada ya kukopa.Hii kanuni imenisaidia mno.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Usikate tamaa.Vizuri umejua kufeli kwa biashara yako kulichangiwa na uzembe wako.Next time ukifungua biashara nyingine hakikisha unaisimamia kwa karibu.
Back
Top Bottom