Ngoja kwanza kijana .Uliomba kazi ya ualimu ukijua kuwa hauna mafunzo wala cheti cha ualimu.
Nina uhakika sharti mojawapo la wewe kuajiriwa ni kijiendeleza ili upate cheti cha ualimu.Sasa hapo kosa la serikali ni lipi?
Kuna wakati serikali iliajiri vijana wa form six kwa masharti kama...
Nafurahi kuona kuna watu bado wanawaza haki.Usiku wa kiamkia leo nililala nawaza.Hivi inawezekanaje watu wauawe kwa wingi namna ile October 29 halafu hakuna quo sequence zozote kwa waliohusika ?Yaani watu wote wale waliochinjwa kwa risasi, damu yote ile iliyomwagika,na hakuna wa kuwajibika...
Uchaguzi wa chama uliomweka Lissu madarakani ulikuwa wa kupekee,ile level ya uwazi ccm hawaiwezi tena.Uchaguzi ule,pamoja na consistency ya chadema na viongozi wake kupigania haki na wajibu vimeiweka chadema juu ya vyama vyote.
Kwangu ilikuwa mshituko wa kuona bajeti imekuwa kubwa, lakini muda mfupi baadaye nilikubali tu kuwa maisha yamebadilika.Ilikuwa ni vita ya kimya kimya kichwani mwangu,wife hakuwahi kujua.Mimi sikuwahi kula peke yangu nje ya nyumbani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.