Prida,wanaume hawataki mambo mengi
1 Hakikisha unampa amani . Constant nagging inamfanya mwanaume ajiulize mara mbili ukifika muda wa kurudi nyumbani
2 Muheshimu kama kiongozi wa familia. Mambo yote tufanyayo wanaume huwa mwisho wa siku tunatarajia yatuletee heshima
3 Kuwa mwaminifu kwake,.Hii...
Inashangaza aisee.Huyu mzee alikuwepo wakati rafiki yake Polepole ananyakuliwa,alipatataarifa.Alikuwepo wakati mauaji yanafanyika,alikuwepo wakati akina Lissu na wafuasi wengine wa chadema wanabambikiziwa makesi makubwa.Lakini amechagua kusema hayo.Sio kwa bahati mbaya .Amechagua kutumika.
Mkuuu achana na habari za kuvishana pete .Wakati ule mchimba alitaka nimvishe pete nikamuambia wazi kabisa mimi sio mzungu.Kama unataka ahadi katika mila zetu ni KISHIKA UCHUMBA,naye akakataa.Nilitoa mahali tukafunga ndoa sasa ni mwaka wa 20 na watoto kadhaa.
Naamini kila aina ya magari yana mafunzo ya namna ya kuyaendesha.Huwezi kutoka tu veta na kupewa leseni ya magari ya abiria,au leseni ya magari makubwa ya mizigo.Rudi chuo ukasome kulingana na uhitaji wako
Naamini chawa wote ni wagonjwa wa akili.Angalia michango ya Tlaatlah,Mwanshambwa,na wenzao wote humu jukwaani.Wanayoandika humu ni aibu tupu kwa mtu mzima.Ukisoma nyuzi zao unaishia kwenye hitimisho moja tu kuwa hawa watu hawana akili.
Niwe mkweli,huwa napata shida kuangalia picha ya samia kwenye mabango,siwezi hata kuangalia taarifa ya habari wala kumsikiliza akiongea.Sasa niwe na picha yake sebuleni kwangu?Itaniua kwa stress
Kile alichosema Nchimbi kinakinzana na mtazamo wa Samia,Wasira ,na wakubwa wengine ambao kwa sasa 'sherehe' imenoga.
Wako mezani wanakula unaleta kelele za katiba mpya?
Usikate tamaa.Vizuri umejua kufeli kwa biashara yako kulichangiwa na uzembe wako.Next time ukifungua biashara nyingine hakikisha unaisimamia kwa karibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.