ACT wazalendo awali ya yote niwatakie kila lenye kheri mungu hamtupi MTU kwenye nia ya dhati. Ni wazi sasa yangu awamu ya tano kuingia madarakani licha ya kupata sifa kemkem toka kwa wananzengo na wachumia tumbo lakini hali ya mambo so shwari na matokeo take kila mwenyewe macho anaona raisi...
awali ya yote naunga mkonyo hoja a samahani naumga mkono hoja kuna askali anafanya kitengo kwa RPC hapa Mbeya alikuwa katibu wa ccm tawi LA SAUT Mbeya na siku ya uchaguzi alileta defenders na mapoti kibao kumpa Ushindi mgombea wa ccm bwa mahimbo Bahati ilhali alibuluzwa na mwana ufipa havillah...
ko chalii ulitaka nikwambie nimepita huku nkasoma pale mala ooooooo change Tanzania change your attitudes you always takes issues negatively hahaaaaaaaaaaaaa too much excess love
Huyu ni diwani pekee mwanamke kuongoza kata kwa kuchaguliwa kwa kura 5789 mwaka 2010 tangu wilaya ya chunya ianzishwe mwaka 1941, awali alihudumu kama boharia wa duka la ujamaa la pembejeo yaani MBECU na baadae alikuwa karani wa kampuni ya tumbaku TLTC mpaka mwaka 2000 alipojitosa kwenye medali...
Wakuu huyu bwana mwakibinga aligombea udiwani kata ya chokaa chunya mjini na kushika nafasi ya tatu baada ya kukatwa chadema alikowania nafasi ya ubunge jimbo la lupa
Alipata kuwa meneja kanpeni wa milaji hussein ambaye alikuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya ACT wazalendo baada ya yeye yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.