Recent content by Mwambafai

  1. M

    Dkt. Slaa: Bunge la Ulaya limetuhukumu Tanzania bila kusikilizwa (2019 Video)

    Kwa hiyo unamanisha alirekodi mwaka jana ili tukio litokee mwaka huu
  2. M

    Halima umeonesha mwanzo mzuri, maridhiano

    Nawaza yule bwana alowaapisha na anayelazimisha kuwa wabunge incase wakatengua mambo hayo atasemaje tena?
  3. M

    CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

    Yanoi haya mengine haoni kama ya shida kwa taifa, mpaka mtu anatka mahabusu bila hata jaji kujua leo hayo hayaoni ati anaishauri chdema,
  4. M

    CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

    Hapa tu pamenitosha kuona uwezo wako mdogo wa akili, kumbe upo kwa ajili ya kusaidia tu pale unapoona mtu anataka kuanguka? how about the rest? Vipi kama kapitia njia sahihi?Upo tayari kupongeza? kama sivyo basi wewe ni hewa
  5. M

    Dakika ya 89: Freeman Mbowe 0 vs Halima Mdee 5

    Utakuwa ulisimuliwa press ya mbowe na vile haikuwa live kama ya hawa covid 19 basi umehadithiwa, na kwa taarifa yako, hesabu mabao mwenyewe na wape pongezi sana ila ndo vile chdma washamaliza
  6. M

    Dakika ya 89: Freeman Mbowe 0 vs Halima Mdee 5

    Atakuwa hajaona hata press ya mbowe, maana hata anachokisema eti alikuwa kakunja sura sijui hiyo aliona wapi? maana kati yao aliehangaika kwenye ni mdee, nafuta majasho kila dakika,
  7. M

    Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

    Sasa ndo mambo gani haya umeandika? uwe unafikiria bana
  8. M

    Spika Ndugai awaapisha Humphrey Polepole na Riziki Lulida. Asema Bunge linawatambua Wabunge 19 wa Viti Maalum waliofutiwa uanachama CHADEMA

    Huyu Ndugai ni mwehu tu kama wengine, haya maneno anayo yaongea leo utafikiri sio yeye anayewatukanaga
  9. M

    GE2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

    Toka siku aliyomkaribisha lowasa na kumpa tiketi ya urais sikuwahi kumuamini sana mwenyekiti,
  10. M

    DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

    Yani siuji uliwahi sikia hili neno maelekezo toka ngazi za juu?? basi ndo kinachofanyika, na hakuna takukuru yenye nguvu kufatilia mambo kama haya au ni aache kazi, muulize majaliwa wakati wa korosho aliambiwa nini
  11. M

    Mtoto wangu wa kike atapata tabu sana

    Hahahaha na wakati huo na wewe unamfanya hivyo hivyo mtoto wa kike wa baba na mama flani
  12. M

    Kwa hiki nilichomfanyia Salha ana haki ya kunitendea haya

    We waache, maana wanajiona play boy hasa
Back
Top Bottom