Recent content by Mwamba wa Tanga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

    Shikilia hapo kwanza Kwasababu kaini na ABEL Ndo watoto wa Kwanza na ukiisoma Biblia vizuri inaonekana aidha Kuna vitu vingi vimefichwa?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Poleni sana wanywa pombe wa Tanzania Chukueni hatua mamlaka zimelala

    Hizo pombe siku hz haziivi vizuri Ndomaana wagonjwa wa sukari wanaongezeka Nimefanya kazi kwenye huo mzungu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Bado Rupia naye atajitetea kama Lissu hakuna uhaini wa mtu mmoja
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Lakini Mtu yule alijileta mwenyewe
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Baba mkubwa naelekea Pangani sshv nikachukue pesa yangu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Tumefanya kazi kubwa sana Tushampiga upofu🔥
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Sawa Baba mkubwa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Karibu👏
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Leo uhakika Simba anashinda
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Yanga Leo atakutana na ghadhabu ya 🔥
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Muda ni mwalimu mzuri
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Taarifa nimepewa nikiwa eneo la tukio ndo narudi Tanga mjini sshv nishamaliza kazi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Mkuu hii Simba ni Timu katili sana Na Leo itafanya unyama mkubwa sana
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Yale maneno tu Nishamaliza kazi
Back
Top Bottom