Recent content by mwamba-1

  1. mwamba-1

    NECTA, haya matokeo ya hii shule yanatia wasiwasi

    Kwani uajabu uko wapi sasa? Kwa maana hiyo unaamini ujinga kujiko akili, zamani watu walikuwa hawajui nini maana ya elimu wala hakukuwa na mwamko tofauti na sasa ivi wazazi tunawekeza kwenye elimu... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mwamba-1

    Mungu atawalipa mnaochezea na kuwaacha mabinti za watu namna hii

    Afu hii kauli ya kumchezea mtu naona iko kibaguzi.... mnashirikiana kwa kila kitu mwishowe mwananke ndo anaonekana kachezewa kwanini na nyie bas msichezee??? Nyambafu
  3. mwamba-1

    Msaada wa ushauri jamani Please usipite bila kushauri chochote

    Hepu tupe namba tujaribu na wengine tuone
  4. mwamba-1

    Msaada wa ushauri jamani Please usipite bila kushauri chochote

    Hapo kuna haja gani ya kuomba msaada wakati tatizo umesha liona liko wapi,
  5. mwamba-1

    Wanaume, hivi vitu vinatukera sana sisi wakinadada

    Wanaume sisi tunapata shida kwa kuona mapaja ya wakina Delila kwasababu malaini, ukizingatia na ile mchirizi inatamanisha, sasa nyie mnakereka nini na mapaja yetu??
  6. mwamba-1

    Eti huyu nae ni CHURA?

    masikini!
  7. mwamba-1

    Bush stars na Born Town first eleven.....

    Wapo wakina lodilofa, pimbi, njemba mchumali, kiokote, watoto mapacha, komredi kipepe mzee wa nyika,mapung'o, chepe...mkuu kwakweli umenikumbusha mbali sana,dah!
  8. mwamba-1

    Wanawake pendeni kuvaa nguo za ndani

    wanaojitetea kuwa dar ni joto linasababisha wasifunge dirisha,, kwani dar joto limeanza miaka hii?
  9. mwamba-1

    Men only (inahusu wanaume)

    ukipita kuwapa hi mda huo umetoka mzigo umechoka kinyama utasikia bro huna hata jero la karibu hapa? nimeuawa mwanangu.
  10. mwamba-1

    Men only (inahusu wanaume)

    big up kaka kwa ujumbe wako maana vijana wanashinda kwenye vijiwe kazi yao ni kugongea tu,,
  11. mwamba-1

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    mimi nakushauri umuoe huyo manka...huyo ni mtaji wa mawazo anayekutaka urudi om na hela
Back
Top Bottom