Recent content by Mwalimu

  1. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    Yote yanayosemwa leo tayari Mbowe alishatuhumiwa na kuhukumiwa wakati wa uchaguzi kuwa ni dalali, mpiga dili na amelamba asali ya watawala kuna kitu gani zaidi kipya? Kama ni heshima au political legacy ilishakuwa sealed wakati ule hakuna lolote jipya nje ya ambayo yalishasemwa tayari. CDM sasa...
  2. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    Hapa kuna factors nyingi zinazowaumiza CDM baadhi zikiwa ni za ndani na zingine zikiwa ni nguvu/msukumo wa nje; 1. Migogoro ya ndani ya chama iliyofikia kilele wakati wa uchaguzi mkuu na mpaka sasa wameshindwa kujiponyesha majeraha yake.-Hii ni INTERNAL factor 2. Nguvu kubwa sana kutoka watawala...
  3. Mwalimu

    PreGE2025 Je, Mbowe anatumika ama anatumiwa?

    Tujifunze kuweka akiba ya maneno muda utaongea. Kama kweli Mbowe ana mpango wa kwenda CHAUMMA muda utaongea hakuna haja ya kumlisha maneno. Na kama CDM wana ushahidi usio shaka kuwa Mbowe anawahujumu basi wafanye maamuzi magumu wamchukulie hatua za kinidhamu ikiwemo kumvua uanachama. Kinyume...
  4. Mwalimu

    Mbowe apewe heshima yake anayostahili!!

    Kama wewe sio CDM unaumia nini sasa kama ameamua kukaa kimya?
  5. Mwalimu

    Mbowe apewe heshima yake anayostahili!!

    Huyu huyu ambaye mmemwita tapeli na majina mengine mabaya leo mnashangaa kwa nini yuko kimya??
  6. Mwalimu

    Mbowe apewe heshima yake anayostahili!!

    Hapa ulikuwa unamaanisha nini?
  7. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    G55 mpaka sasa hawajatoa hoja za mashiko kuhusiana kujiengua kwao toka CDM. Hata huko nyuma hakuna aliyewahi kuondoka CDM kwenda vyama vingine ikiwemo CCM alitoa hoja za mashiko zaidi ya personal attacks.
  8. Mwalimu

    Mbowe apewe heshima yake anayostahili!!

    Sasa huyo mnaemuita TAPELI ndio mnalialia kwanini hajitokezi kuwatetea?? Kazi kweli kweli!
  9. Mwalimu

    Duru : Utangamano, Amani na Ustawi. Taifa linaelekea wapi?

    Inasikitisha sana kuona spika wa bunge amegeuka kuwa msemaji wa serikali. Ni aibu zaidi kwa mtu anaejitanabaisha kuwa msomi wa sheria kiwango cha PHD lakini anatoa hoja dhaifu kiasi kile. Hakika huyu anaenda kuweka rekodi kuwa ni spika mbovu kabisa kuwahi kuhudumu kiti kile toka tupate uhuru!
  10. Mwalimu

    Nakukemea Freeman Mbowe

    Akemee akiwa kama nani? Muacheni apumzike!
  11. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    Mkuu Nguruvi3 na wadau wengine, Kauli mbiu ya NO REFORM NO ELECTION ina nguvu kiasi gani katika mazingira ya sasa ambapo vyama vingine vya upinzani vimekubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya haya magumu ambayo CDM wameyagomea? Uchaguzi wa 2015 pamoja na madhaifu kadhaa upande wa...
  12. Mwalimu

    TFF ni chombo ya Simba

    Wakati mnachukua kombe mara 3 mfululizo TFF hii hii ilikuwa chombo ya nani??
  13. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    Kuondoka kwa FAM, G55 na wengineo haimaanishi kwamba kuanzia sasa CDM mambo yatakuwa shwari, kwamba hakutakuwa na kutofautiana misimamo, kwamba mwenyekiti hatapingwa tena... Lazima uongozi ujipange namna ya kukabiliana na hizo changamoto sababu sio kila siku zikitokea changamoto (na zitatokea...
  14. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    Mkuu Nguruvi3 Shukrani kwa tafakuri hii.... yale niliyosema huko nyuma naona yanaanza kujitokeza Timing ya uchaguzi wa ndani haikuwa nzuri kufanyika katika mwaka wa uchaguzi mkuu, wameshindwa kupoza makovu yaliotokana na minyukano ya uchaguzi, na sasa wanaonekana kupata shida namna ya...
  15. Mwalimu

    CHADEMA na Minyukano : Fursa , Makosa na Anguko

    Mkuu Nguruvi3 Uongozi wa CDM ukijumuisha mwenyekiti na makamu wake ambao wanaenda kuchuana unastahili lawama kwa kuruhusu hali hii ya minyukano kuelekea uchaguzi. Timing ya uchaguzi sio nzuri ikiwa imebaki miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu na sioni yeyote kati yao atakaeshinda ambae ataweza...
Back
Top Bottom