Recent content by Mwalimu wa Zamu Tz

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Alphabet 2+ sure odds Hao jamaa ni balaa aisee acha nilipe miezi mimgine minne tu
  2. M

    Kuhusu madaraja ya leseni na magari yake

    Mkuu Mimi natamani sana kupata leseni hata daraja B tu inatosha ila kuna jambo linaniumiza kichwa hivyo nashindwa pakuanzia unaweza nisaidia kwa mawazo?
  3. M

    Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

    Hapo bado miungu ya wahindi,budhaism,Wachina,wakorea,wajapan,wavidunda yaani kila mtu na dini yake aisee
  4. M

    Sijui huu ni mtego au...?

    Shehe unakwama wapi -Umetongoza mwenyewe ukuomba ushauri. -Umekubaliwa mwenyewe hukutuomba ushauri... -Genye zako mwenyewe hukuomba ushauri -Kuna misemo mingi ya wahenga kukuelezea kwa ufupi.. "Fikiri kabla ya kutenda" kwanza ungefikiria kabla ya kuendekeza genye "Maji ukiyavulia nguo......"...
  5. M

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimepata msg ya Airtel wanauza router(sijui ni router au pocket Wi-Fi wanasema tu ni kifaa cha internet)kwa 50k na utapata bando 10GB kwa 10k(Sijajua ni kwa wiki/mwezi) hii imekaaje
  6. M

    Kifaa bora kwa mwili, Massage gun kinauzwa

    Mbona unakurupuka wapi Massage gan ni 30k?? Ficha ujinga sawa?
  7. M

    Kifaa bora kwa mwili, Massage gun kinauzwa

    Ikosee iende wapi we mzee
  8. M

    Kifaa bora kwa mwili, Massage gun kinauzwa

    Kifaa hiki kimasaidia; -Kupunguza maumivu ya viuongo -Hufanya massage mwilini hivyo kuimarisha mzunguko wa damu -Kwa wanariadha na wafanya mazoezi kinaondoa uchovu -Kinasaidia kwa watu waliopooza miguu,mikono mgongo n.k - kinameno(plate) zaidi ya 6 ambazo zinatumika kwa kazi tofauti na...
  9. M

    Unahisi uzi gani utashinda Story of change 2023?

    Walimu huandika mambo yalioenda shule Nasisitiza pitia bandiko langu (Jinamizi limeikumba sekta ya habari) hutojuta
  10. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Acha siasa wewe Kama ni nyuma ya aseno na msimu 2021/2022 utasemaje aseno alituacha point 8+ licha hakuwepo wala nini ...Msimu jana katuacha point 9+
  11. M

    Wasafi FM mnapoelekea na wanahabari wenu mtakuja kuuza redio studio za wasanii wa mtaani

    Mdau alieleza kila kitu hakucha hata nukta.Umepita mulemule Soma>> https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2105730/
  12. M

    Waandishi wa Habari acheni kulalamika. Tamaa zenu na kukosa maadili ndio anguko lenu

    Kukosa msimamo kwa wanahabari ni tabu sana Aliandika jamaa mmoja https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2105730/
Back
Top Bottom