Mkuu
Mimi natamani sana kupata leseni hata daraja B tu inatosha ila kuna jambo linaniumiza kichwa hivyo nashindwa pakuanzia unaweza nisaidia kwa mawazo?
Shehe unakwama wapi
-Umetongoza mwenyewe ukuomba ushauri.
-Umekubaliwa mwenyewe hukutuomba ushauri...
-Genye zako mwenyewe hukuomba ushauri
-Kuna misemo mingi ya wahenga kukuelezea kwa ufupi..
"Fikiri kabla ya kutenda" kwanza ungefikiria kabla ya kuendekeza genye
"Maji ukiyavulia nguo......"...
Nimepata msg ya Airtel wanauza router(sijui ni router au pocket Wi-Fi wanasema tu ni kifaa cha internet)kwa 50k na utapata bando 10GB kwa 10k(Sijajua ni kwa wiki/mwezi) hii imekaaje
Kifaa hiki kimasaidia;
-Kupunguza maumivu ya viuongo
-Hufanya massage mwilini hivyo kuimarisha mzunguko wa damu
-Kwa wanariadha na wafanya mazoezi kinaondoa uchovu
-Kinasaidia kwa watu waliopooza miguu,mikono mgongo n.k
- kinameno(plate) zaidi ya 6 ambazo zinatumika kwa kazi tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.