Recent content by Mwalimu wa Zamu Tz

  1. M

    Leo tuongee na wanaume vibonge, mnazingua sana wanetu

    Mabonge yakamatwe yapigwe bomu pale Mto kenge
  2. M

    Sio kweli kuwa mwanaume anaweza kupata hedhi

    Nyie mnaoingia hedhi mrudishe Pumbu zetu alaf nyie muendelee kuvaa Pedi hii Mada inazidi kukomaliwa
  3. M

    Utofauti kati ya Kombora na Kipapai katika uchawi najinsi inavyo athiri maisha yako

    watu wanawaza kurusha Satellite wewe unawaza kurogana tu Kemeea Katekaaa Jeeena la Yesooooo Pegeea Yesoo Makofeeee
  4. M

    Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Wewe kenge si Winga Kkoo uko Amerika umefika lini kama unaota amka kenge wewe
  5. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yani unaacha kutafta kipa mdogo wa maana unaenda kwa Dibu?? Ivi hii Manjesta kweli iko serious binafsi Dibu na Onana namchukua Onana
  6. M

    Hivi nyie wanadamu kwanini hampendi kuona watu wakifurahi eti?

    Tatizo hata ngoma za sikuizi ni upuuzi mtupu..ila uliyoyaelezea Yoote Jide ameimba kwenye mkwaju wa "Kuna watu na Viatu" Ngoma inatoa funzo sana. Ngoma kama ya ProF J na Feroz ,komando Jide, Sir Nature zilizkua na mafunzo mengi sanaa
  7. M

    Anasema Injili ya Yohana iliandikwa na “yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu

    Dini zitakuja kuwaua PEGEAA YESOOO MAKOFEEEEE TUMSALIE MTUME MWAMEDII
  8. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    KARIBU MRUSI EMPIRE – JIUNGE NA KAMPUNI BORA DUNIANI! Sasa unaweza kuweka na kutoa pesa kwa urahisi kupitia mitandao yote ya simu kama Airtel, Tigo na wengineo – bila wakala! Jiunge na 1XBET, kampuni inayoongoza duniani kwa odds bora na huduma za kimataifa. Jinsi ya Kujiunga Haraka na...
  9. M

    Natengeneza website(tovuti), mifumo ya ya kutunza kumbukumbu, hii nilimtengenezea mwanajamiiforum icheki

    Wewe bwana Admit unatumia AI kwani ni dhambi? xAI yenyewe inatumia AI kuandika code sembuse wewe ulievamia fani??
  10. M

    Jamii forums app clone + modification kwa kutumia flutter

    Dogo achana na JF they dont give a f*ck hawatakusaidia chochoote App lao lipo toka miaka na Miaka unafkiri hawaioni ilivyo ya kishamba? wewe kupitia hiyohiyo AI tafta idea then develop App zako acha kujipendekeza kwa hawa kenge
Back
Top Bottom