USHAURI WANGU KWA WIZARA YA ELIMU.
Kwa kuwa ni kweli kabisa kuwa kuna uhaba Waalimu katika shule nyingi msingi ukilinganisha na za sekondari ambazo nyingi zina ziada ya Waalimu hususani wa Masomo ya sanaa, nia ya Serikali kuongeza Waalimu kwa kuwapeleka baadhi ya Waalimu wa Sekondari...
Nilichokishuhudia leo ikiwa ni siku moja tu kabla ya ujio wa Lowassa ni vijana waendesha pikipiki wakiwa wamevalia fulana nyekundu na bendera za CDM,lugha ya kampeni ni ya kumkashifu Mbunge wa CCM kuwa "analala tu bungeni"ila nimeshangaa sijasikia wakisema kuwa wanayemnadi atafanya nini bungeni...
Wewe ndiyo walewale tu mbona hamkumfunga mapema?mlingojea hasara iongezeke au agombee Urais kwanza?Una mahaba gani na Nchi hii wewe kama siyo unafiki unakusumbua?Kamshtaki a Rais Mstaafu Mh Benjamin Mkapa kwa kututangazia atanunua radar na ndege ya Rais wakati wake na alinunua makapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.