Recent content by Mwalimu-Mkuu

  1. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya acheni utoto

    Mkuu, Mother tongue ya Kenya ni kiswahili. Vipi lakini ,angeongea kikikuyu wajaluo na wakamba wangemuelewa?
  2. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya acheni utoto

    Kama hoja yake inawakilishwa na malalamiko ya Slay Queen,kwanini huyo Slay Queen hajamalizia sentensi yake Kwa lugha ya Kiha,au Kinyamwezi? Kama kiswahili kilivyo lugha ya taifa Tz, Kingereza pia ni lugha ta taifa Ke...
  3. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini kinapelekea watu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na ndugu zao wa damu?

    Jamii inaona mtu na mwanae..kiroho ni mtu na mke wake...
  4. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini kinapelekea watu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na ndugu zao wa damu?

    Ukikuwa utajua ni kwanini Mila nyingi na dini haziruhusu wanandoa kufunga ndoa au hata kulipa mahari ikiwa Binti ni mjamzito.
  5. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

  6. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Call for proposal and Scholarship

    Ungependa opportunities za grants zaaina gani?..omba nikutumie hapa.
  7. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    Samahani mkuu, sijaelewa ulichokiandika. Ila nina uhakika 100% niko right... Nikikwambia you are incopentent nielewe, maana hata sentensi ya kuniuliza kama niko sawahaieleweki...
  8. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    Dont hate the player, hate the game!....Emotional intelligence ni moja ya critical indicator ya competency.
  9. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    Mkuu, cbc teqching is focused on defferenciated learning and teaching activities.teaching methodolovies that are learner centered. Kama hukuzingatia hili na kuengage wanafunzi kwenye lectures badala ya kufacilitate lernibg activities, hukufanikiwa kutekeleza mtaala wa CBC.Kwa kifupi you are...
  10. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    Samahani mkuu, kwa mtizamo wako mtoto wa darasa la 1- 3 anafaa kumaster somo lipi ili awe surgeon?...na nitatumia assesment ipi kujua kuwa hatapenda sanaa na kucheza mpira ukubwani?
  11. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    😂😂 ikoje mkuu?...nilibahatika kusoma nje .nielimishe.
  12. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    mkuu,hii specialization ipo kwenye kila sector.Kinacholetwa mezani na CBC ni competence[umahiri] wa huyo professional ambae amespecialize.Ana skills kiasi kipi,ana uwezo kiasi gani kutatua changamoto katika field yake,ana knowledge na attitude gani towards career yake na shuguli zake za kila...
  13. Mwalimu-Mkuu

    JamiiForums Tanzania Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education. Kenya wazazi, walimu na wanafunzi hawaitaki

    Habari Mkuu t blj, Naomba nikupitishe kwenye ufafanuzi alioutoa Mkuu Animo (#20) EBE ni aina ya elimu inayotolewa ambayo ina vipengele 5 kama alivyosema Mkuu Animo,Nchi inapoamua kuchukuwa na ku adopt mfumo huu wa elimu inabidi inchi husika i customize content na implementation ili iendane na...
Back
Top Bottom