Na niombe walimu tulioko Chamwino hebu tujitokeze hapa na kusema ukweli dhidi ya kiongozi wetu huyu, hivi ni lini aliwahi kumfukuza mwalimu kwenye kikao? lini aliwahi kuwajibu walimu vibaya, narudia tena na tena naomba tumwogope Mungu na tuseme kweli.
Hofu ya Mungu itawale katika ndimi na...
Narudia tena walimu wa chamwino wanaujua ukweli na sijui kwa nini watu wa maslahi yao binafsi wanaamua kumchafua mama wa watu, jiulize tu kama yupo hivyo je CWT wako wapi? TSC wako wapi? na lazima ufaulu ungeshuka ni vema kuacha chuki na kusema mambo ya kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.