Tatizo lipo kwa mamlaka hsika maana zile taa za kuongoza magari dar es salaam nzima hazipo sawa zinashida barabara ya kuja tegeta karibia njia yote madereva wanaendeshea uzoefu tu
Hili swala la mahali mimi naona halipo sawa
Kwasababu kila mtu kalelewa na wazazi wake kwa maadili mema why mwingine alipishwe
Inaonekana kama ni biashara kwa upande flani hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.