kweli huyu bro nikichwa cha mwenda wazimu....huwezi kusema uchaguzi wa zanzibar hauhusiani na uchaguzi wa jamhuri ya muungano kutokana na kwamba raisi wa jamhuri ya muungano huwa anachaguliwa na wote(tanganyika na zanzibar) hvyo kama zanzibar wanarudia uchaguzi kulingana na uamzi wa ZEC hata...
tujaribu kuangalia kwa umakini hivi zile kadi za kura feki zilizokuwa zimekamatwa hao watu walijiandikishia wapi?kitu kingine wanapatikana kwenye maeneo gani kati ya vituo vyote vya kupigia kura vilivyokuwa vimeandikwa na kujulikana kwa watanzania wote......naombeni mnitoe wasi hapo wana jf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.