Habari.
Natafuta kiwanja kuanzia sqm 350 kuwndelea kwa ajili ya makazi kuanzia maeneo ya kibaha kwa matias kwenda hadi kiluvya pande zote pia hadi vikawe. Kilichopimwa au hakijapimwa.
Ni PM km unajua kama kipo kinachouzwa
Habari,
Huwa kuna kipindi shirika la unhcr huuza magari yao yaliyoshatumika.Kwa anayejua, sio anayedhani, anayejua, gari km hii hap iliyoshatumika unaweza pata kwa bei gani?
Habari
kwa mafundi, kupaka upya rangi gari km hii hapa kwa dar inaweza kuwa bei gani. nataka iwe black metallic. Haina mikwaruzo kivile cha muhimu rangi bei yake inaweza kuwa bei gani
Itakuwa vzr nikipata jibu kwa watu wanaojua sio mtu tu ku gesi na kujibu.
Habari wanandugu,
Nina bro wangu anatafuta girlfriend
Amejiajiri na umri wake ni miaka 36. Ni mkristo. Naandika ili iwasaidie wale wanaopendelea watu wa upande wao lakini yeye habagui dini.
Kama kuna msichana aliye serious aniPM niwaunganishe.
Habari
Natafuta shamba la angalau ekari 3 katika eneo popote kuanzia bunju mwisho hadi bagamoyo upande wa kulia km unaenda bagamoyo. Natafuta shamba ndani ya upande huo nilioutaja hapo juu. Kama kuna mtu dalali au mmiliki ani PM nahitaji shamba
Matapeli sitaki kwa kuwa km tutafamya biashara...
Kaka mimi nina Tsh 300,000 Naomba nikupe unipatie hiyo mashine kisha hicho kiasi kingine unikubalie nikulipe kidogo kidogo. Si unaelewa tena hali ya kibiashara ya sasa. Naihitaji sana kaka
Habari zenu
Nimeipitia hii thread na imenisaidia kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo sana hasa kwa aaiye na uwezekano wa kuata mitaji mikubwa
Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa - JamiiForums
Inaweza ikawa sio biashara kwa kia mtu ila kwa kujipatia kipato kwa haraka nadhani ni wazo zur...
Habari
Kama MTU yuko kibamba katka eneo la viwanja vilivyopimwa na kampuni inayouza viwanja vilivyoshapimwa na MTU unataka aanze ujenzi
Je,ni muda gani na sh ngapi inatumika hadi upate kibali cha ujenzi?
Naombeni uzoefu wenu has a kwa ambao tayari washajenga
Nimemsikia waziri anayehusika Na mazingira akiongelea kuhusu wiki ya mazingira. Na nasikia Wa nataka kuwasaidia wajasiriamali wadogo mitaji ya kuanzisha mitadi hii ya mkaa. Nadhani ni kitu kizuri kwa wajasiriamali kuchangamkia fursa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.