Recent content by mwaki1

  1. M

    Mkurugenzi wa COSTECH mmulike Mkuu wa Idara ya Knowledge Management kabla ya kumulikwa na Wateuzi wako...

    Hili la ngono kwa mkurugenzi wa Tehama ni ngumu kujibu ila naona alifanyiwa hicho kitendo atoke aseme kuliko kusema mitandaoni maana inawezekana na isiwezekane pia ikawa kama kupakana matope. Sasa hili la ukabilazation nalo halina ushahidi kwa kifupi sijajua...
  2. M

    Mkurugenzi wa COSTECH mmulike Mkuu wa Idara ya Knowledge Management kabla ya kumulikwa na Wateuzi wako...

    Sio nia kujibu hoja ambayo haina mashiko hapo mie najaribu kumwelewesha mtoa mada kuwa hiyo ya kusema TERNET anapata 25% ya mradi sio kweli na ndio maana nikamwonyesha mgawanyo katika mradi pamoja na wadau wa mradi na TERNET kama mtekelezaji tu na...
  3. M

    Mkurugenzi wa COSTECH mmulike Mkuu wa Idara ya Knowledge Management kabla ya kumulikwa na Wateuzi wako...

    Hoja ya TERNET imejibiwa ila hoja ya mkurugenzi ni yake binafsi siwezi ijibia maana anapowataka hakuna mtu mwenye ushahidi hivyo tuombe TAKUKURU waingilie halfu kuwa na staha na maneno yako
  4. M

    Mkurugenzi wa COSTECH mmulike Mkuu wa Idara ya Knowledge Management kabla ya kumulikwa na Wateuzi wako...

    Nakusaidia Pia kukuwekea na washikadau wa HERIN na uweze kujua kuwa mradi huu uko katika structure ambayo ilitolewa na wizara ya Sayansi na Teknolojia na Elimu ya Juu enzi hizo na nitakuonyesha na TERNET inaingiaje kwenye mradi huo. TERNET sio kampuni binafsi...
  5. M

    Mkurugenzi wa COSTECH mmulike Mkuu wa Idara ya Knowledge Management kabla ya kumulikwa na Wateuzi wako...

    Ndugu yangu Kipimbwi , Nashhukurru kwa uzi huu uliouleta kwa bahati njema ni kuwa nadhani waliokupenyezea hili jambo la HERIN kuna vitu haviko sawa ,kwanza napenda utambue kuwa huu mradi wa HERIN ni mkombozi kwa vyuo vyetu vya juu kama ulivyobiniwa sasa nakusaidia...
  6. M

    Naomba mtandao wakustream mpira live

    Nami naomba account ninayo dstv app
  7. M

    Natafuta rafiki wa kike

    Hello uko salama lakini .....niambie kuhusu weye ...
  8. M

    Msaada wa nauli: Nimeitwa kwenye usail Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB), Moshi-Kilimanjaro

    Nipo tayari kwa kuchangia Mungu atakusaidia mkuu
  9. M

    WEB DEVELOPER PLEASE MSAADA

    Poa mkuu ni DM
  10. M

    WEB DEVELOPER PLEASE MSAADA

    Sema kaka shida ni nini ..?
  11. M

    Wadau wa Wizara ya Viwanda na Biashara + COSTECH

    tupe namba yako tukupigie mkuu -COSTECH
  12. M

    INAUZWA LAPTOP

    350,000 /= My Offer
  13. M

    Niko tayari kuolewa na muislamu

    Ok
Back
Top Bottom