Aliyekuwa Mwenyekiti WA CDM Jimbo la KAHAMA Mjini Kamanda Juma Protas Ntahipera ameenguliwa kwenye kinyang'anyiro hicho Kwa tuhuma ya Kikiuza Chama.
Juma Protas Ntahipera alikata Rufaa kupinga maamuzi hayo ya Chama kwani anadai hakupewa nafasi ya kujitetea na hakuna ushahidi ulionyeshwa au...
Hii inaonesha kuwa wamekubaliana
na jambo hili.
Haiwezekani aliyekuwa Mkuu wa Nchi aitwe Mwehu afu Viongozi Wakuu wa Chama wasitoe tamko lolote.
Ni dhahiri kuna genge liko nyuma ya Dialo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.