Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
Na wewe ruka ukitaka kwani umekatazwa.Mi nachokujua jamaa siku hizi anaingia saa tisa kutoka nchi fulani saa tatu usiku anaruka tena yaani mwamba kama mwewe kila siku yuko angani
Na wewe ruka ukitaka kwani umekatazwa.Mi nachokujua jamaa siku hizi anaingia saa tisa kutoka nchi fulani saa tatu usiku anaruka tena yaani mwamba kama mwewe kila siku yuko angani
Ni kweli ila wapinzani bado hawajawa tayari. Kupitia CCM yenyewe something will happen.Huko mbele kunafukuto kubwa.. siasa huwa haina Rafiki au Adui kudumu..
Vuta peps bariiid kabla haijaisha utayashuhudia..
Na wanaitafuna haswawaache watumbue...nchi yao hii bwana
Samia anae mtu sahihi ambae si tu kama akitaka atampa ushauri bali pia ni Rais ambae ameongoza nchi kwa upendo ambao haijawahi tokea.Baba hua ni mtawala wa familia,hua na mipango yake ya kifamilia. Pindi anapoiacha familia baba ajae huja na mipango yake
Nadhani wote waliokuwa wanapinga huu mradi ni shauri ya kutokuwa na uelewa wa mambo ya biashara ndio maaana hata spika alipoelewa umuhimu wake ndio akawa wa kwanza kushangaa ilikuwaje mradi kama ukataliwe ?Siyo endapo. Hili linajulikana. Hili gazeti limeandika siri iliyo wazi. Hii kasi ya kupigia debe bandari ya Bagamoyo ilianza mara baada ya rais Samia kuapishwa. Kikwazo kilikuwa ni Magufuli tu.
Wabongo kwa kupiga domo ni hatari, mna akili kama mizoga.Africa Intelligence haidanganyi. Na inside information zake sio free.
Kwahiyo sasa hivi ni kosa tena Rais kupokea ushauri ?Mzee kumbe presidaa ni moja ya kazi zake za nje! Ndio maana ana power ya kumuendesha
Unaifananisha Tz na Dubai au we ndo kikwete mwenyewe?Kama Kikwete anatumia ushawishi wake kwa China kuiwezesha ujenzi wa bandati ya bagamoyo,hizo ni habari njema sana.
Bandari ya Bagamoyo ni mradi mzuri mno ambao utaiweka tanzania katika nafasi ya juu kabisa kiuchumi katika nchi za maziwa makuu.
Bandari hii,ambayo itahusisha ujenzi wa industrial estates kibao,itatoa maelfu ya ajira kwa watanzania na kuuifanya tanzania kuwa kitovu cha biashara katika ukanda huu kama ilivyo Dubai kule arabuni.
China walimwachia kijana wake alipokamatwa na madawa ya kulevyaAfrica Intelligence website imeripoti kwamba Ndugu Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa amamu ya nne anatumia ushawishi wake kwa Samia suluhu kuhakikisha kwamba Bandari ya Bagamoyo ambayo ujenzi wake ulisimamishwa na Ndugu JPM kwa kigezo ni mradi ambao ulikuwa unakwenda kulifisadisha taifa, kwamba kwa sasa, Mtaalamu huyo na Nguli wa siasa nchini Tanzania anatumia fursa iliyopo kuhakikisha MRADI huo wa wachina unasimama kwa spidi ya aina yote.
Aidha, Gazette hilo linatutanabaisha kwamba, JK amekuwa ni mshauri asiye RASMI juu ya mambo mengi ya TAIFA kwa sasa, kwa maana isiyo rasmi, ni Kiongozi rasmi nyuma ya pazia juu ya mambo mengi yanayoendelea nchini Tanzania ikiwemo na uingizaji wa chanjo ya UVIKO.
( Source; Africa Intelligence: exclusive news on Africa )
View attachment 1847575
Nini maoni yako?
Ile ni FDI.Unaifananisha Tz na Dubai au we ndo kikwete mwenyewe?
Hizo pesa zinazotumika kwanini zisitumike kuziendeleza bandari zilizopo Mungu anatupenda ametupa bandari ngapi kwanini akili/pesa isitumike uko kuzifanyia marekebisho.
Naomba kuuliza .mtaani wanasema mama alishawahi kuwa mke wa kikwete je nikweli,na pia eti ni mtoto wa mwinyi kama navyosikia?Imagine Wewe mwanamke wako au demu wako aje kuwa boss wako ; je ataweza ku resist kitu kwako kirahisi ?
machagga ndo nn?Ile ni FDI.
Siyo pesa ya serikali. Mna vuchwa vigumu sana ninyi machagga
Heheheheh nimeongea tu mkuu lengo sio kubishana usinishukie kama mweww tafadhali 😅!Kwahiyo sasa hivi ni kosa tena Rais kupokea ushauri ?
Anatakiwa kuwa HASHAURIKI kama Magufuli?
Kama JK ndio anaendesha nchi mbona CHADEMA hawafanyi mikutano na maandamano kama enzi zake?
Samia anae mtu sahihi ambae si tu kama akitaka atampa ushauri bali pia ni Rais ambae ameongoza nchi kwa upendo ambao haijawahi tokea.
Ndiyo mjue kutumia akili kwenye chaguzi badala ya mihemuko na ushabikiSamia alitakiwa kufanyiwa vetting sana kwenye decision skills kabla ya kukabidhiwa the higher office .
Mradi wa Bagamoyo na Umagharib vinakuja kwa kasi kwa maslaha ya jamii fulan
Katiba MPYA NI lazima.