Kimsingi mwanamke huyo hana upendo wa dhati kwako,hakujali,hakuthamini,hana huruma na upeo wake wa kimaendeleo(kimaisha) hana,hivyo kupoteza pesa si kitu utapata zingine achana naye huyo tafuta mwingine mungu atakupa na huyo ilikuwa si mpango wa mungu,waswahili wanasema dalili ya siku njema...
Huyo mtoto wa miezi 4 mtafutie Maziwa mbadala na jaribu kubalance mlo kamili,usihofu mtoto ni zawadi kutoka kwa mungu,endelea kulea mimba utajifungua salama tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.