Ndo tabu ya kuteua teua majiinga kama ----- nazi mulongo yaana badala ya kutafutia ufumbuzi swala la wanafunzi amesababisha matatizo mengine km mlundikano wa kesi mahakamani, pia upotevu wa rasilimali km muda na fedha kwa kesi ya kipumbavu acheni ujinga badala ya kutafuta aliyeua mwanafunzi na...
sio mazishi peke yake hata kuzurura nchi za wa2 zilizoendelea akae nchini kwake ajenge nchi ana2tia aibu huko anakoenda na ku2potezea hela kwa ajili ya kuzurura
Mi nakubaliana na lema kwan hakuna sababu ya kuthibitisha udini wa Jk wakati ule wa Pinda haujawai somwa popote wameukalia 2 huko washenzi sana hawa spika na jopo lake wanakula hela za bure na hakuna wanalolifanya la msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.