Recent content by Mwakalinga Bujo

  1. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?

    Miaka yote nipo Jf, hii story ndio nimesoma leo. Viva Jf, Viva Mtambuzi 👏👏👏
  2. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

    Kama story ndivyo ilivyo , basi kuna shida
  3. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Matokeo Rasmi ya Jumla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2020

    Hii ni idadi kubwa sana.
  4. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Nape out, Mwigulu out, January out, Kinana out yaani Class of 2015 wamepoteana

    Kwakweli wamevurumushwa
  5. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Ole Sabaya hizi tuhuma za Wafanyabiashara wa Hotel ni nzito kwako, huu sio uongozi!

    Nimeona clip aliyomchukuwa mama mmoja ambaye alishawahi hojiwa na Millard Ayo-akijitambulisha kama chalii ya R. Leo ameibuka hai kama mlalamikaji, kadhulumiwa samba.
  6. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Video: Halmashauri kuu ya TLP yampitisha Dr. John Magufuli kuwa Mgombea Urais 2020

    Halmashauri kuu ni yeye na familia yake, so maamuzi ni rahisi sana
  7. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale RESIDENTIAL PLOTS FOR SALE

    Huu ni utani na thamani ya pesa
  8. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda ayakana makontena 20 yaliyokwama bandarini

    Natamani hayo makontena yawe yangu
  9. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Wanaomchafua Dr. Dau magazetini na mtandaoni ni wafamaji, acheni waendelee kutapatapa

    Duh! Ndugu yangu sisi ni weusi kama ww , hizi dini zimeletwa na waarabu na wazungu . Tudumishe yale yanayofaa kwa kuwa mimi na wewe ni wamoja ,usinitenge kwasababu mimi ni mkristo na wewe ni mwisilamu . Bado nakulilia ndugu yangu wazungu na waarabu waliotuletea hizi dini si ndugu zetu . Tafakari...
  10. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Bei ya petroli yashuka huku dizeli na mafuta ya taa ikipanda

    Hii imekaa sawa. Sema kwenye mafuta ya taa,something has to be done
  11. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Ndoa ya Wastara yadaiwa kuvunjika, mumewe afafanua kilichotokea

    Kweli JF inatembea ,imeacha kukimbia ...
  12. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Mti wa Chuma ni nani humu JF?

    Hongera sana jamaa... Komaa utawaajiri hata baadhi yetu tunaokubeza humu
  13. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Kikwete a smart Man that I know

    Naungana na wewe mkuu
  14. Mwakalinga Bujo

    JamiiForums Tanzania Hatimaye mama Maria Nyerere ampigia kampeni Magufuli

    Mama Maria Nyerere amenishangaza sana. Ila bibi yetu amechoka wanampeleka peleka Tu.
Back
Top Bottom