Hata mimi nashangaa,,ila ninachojua sisi wa Tz tunapenda sana michezo ila viwanja vya michezo mbalimbali hakuna na walimu hakuna,,endapo serikali ingeandaa viwanja na walimu naamini michezo ingepunguza uhaba wa ajira na zile familia duni zingenufaika na hili..
Hio ndio sifa ya watanzania,,jumlisha majungu na kupenda mambo ya hovyo kama Mzee Mpili,,Piere Liquid,,Babu wa Samunge nk na KUTOJALI KABISA mambo ya msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.