Dhahiri kuwa Sio unaongea kuhusu watu.
Ila unaongwa kuhusu ww.
For the past two Months. Umeongea mengi sana binafsi kuhusu ww zaidi ya mtu aliyekaa humu miaka 10.
Na hiyo ni shida.
You think They care about You.
Nill bro. We dont.
And then, why you keep on telling?.
The answer is... You seek...
Ni kweli tuko tofauti.
Hata tunavyowaza.
Ww si unaona daily unataka kupata Validation na Peoples approval ili kujisikia ww ni wa thamani.
Ila kwenye Dunia . Hauhitaji Validation ya watu. Wala mawazo yao ili kuwa ww kama ww.
Ukiwa unawaza hivi. Maisha yako yote utahangaika.
na ukweli mchungu...
For sure.
90% ya dreams zangu ambazo sikuongea hadharani zimetimia..n 90% ya nilizoongea hadharani hazijatimia.
Take Note.
Alafu compare.
I dont need people's approval or opinion of who i want to be.
Binafsi nikiwa na Malengo. Hasa makubwa, naweza hata nisiwambie watu. Na mengi yanakamilika.
Sihitaji mtu aseme naweza au siwezi.
Na kama nikishindwa ni somo nimejifunza.
Kwahiyo. Sihitaji wala siruhusu mtu aniambie ni ngumu au rahisi.
Kwasababu huo uguju au urahisi ni uwezo wake ndio...
ila Mimi Nakujua.
Na Unapoelekea nadhan utaomba picha ya kile kidole kinachokaa pekeyake.
Kidole cha 21 .
Na Jamaa najua atakolea na atakutumia.
Shida sasa huwa anawatumia watu wenye majina yanayoanzia na Binti.
Ndugu yangu
Kwanza sijui kwanini una amini una haters.
Hauna haters humu JF.
And because you keep thinking about that, it is obvious you created those haters in your head. In the real JF world, they do not exist. With all due respect, you do not need people's approval to be who you are, or who...
Nolle ni kudrop charges.
Sio kwamba umeshinda au kushindwa.
Proceedings zinaweza kufika hadi hatua za mwisho na DPP akadrop charges.
kinachozuia DPP asianzishe kesi kama hiyo Hukumu.
Kesi ya Lissu kabla haijafika hukumu.
DPP anaweza kuishusha na kuipandisha tena
Nolle ikisemwa hakuna kupinga.
Maana aliyekushtaki ndio kaondoa mashtaka.
Ndio maana unaweza kufutiwa kesi . Askari Magereza wakakuachia. Alaf ukatoka nje ya mahakama, na Polisi wakakukamata wakakupeleka mahabusu zao na kukufungulia kesi nyingne.
Haya mashtaka sio ombi lako. Ni ww ni mshtakiwa.
Hii tume ya Pili ikija na orodha ya watu waliohamasisha vurugu za Mo29 na jina lake likawepo.
DPP anafungua kesi na kuwasilisha ushahidi wa maandishi na Video kadhaa. Na mahakama ikamtia hatiani .
Akatangazwa ana kesi ya Uhaini.
sheria za Makosa ya Kimtandao zinasema hata kama umefanya ukiwa...
Ni dhahiri kesi waliisuka vibaya.
Na Kisheria wameshindwa.
Ule ushahidi wa Video kukataliwa na ule wa maandisho ya mo29 pamoja na kusema Lissu ndio alichapisha ile Habar kwenye JamboTV ndio umewaangusha.
Sio mara ya kwanza Jamuhuri kushindwa Mahakamani.
Mchungaji Mtikila ashawashinda sana...
Na kama akitumia Nolle procequi .
inampa nafasi tena ya kufungua case hiyo hiyo na kuongeza ushahidi na kuisuka kesi upya kuanzia Mwanzo.
Na kesi ikapangiwa Mahakimu wengine na kuanza upyaaa kusikilizwa.
Ila akisubiri Hukumu ya Mahakama . Basi DPP hawez tena kumfungulia mashtaka kama hayo...
Juzi nilikuwa tunashauriana na watu.
Hakuna Chombo kinachowakagua hawa majamaa. Na wako wengi sana.
Mtu anajifunza boda leo alaf wiki ijayo anaingia road kufanya biashara.
Unafikiria ajali zitapungua?.
Suluhisho ni Kuanzishwe Leseni ndogo ya kuendesha boda boda tu.
Iwe na bei ndogo. Labda 30k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.