Recent content by Mwaka wa Mbele

  1. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    😂😂😂😂 nimemuona na nimeshamuweka kule sehem anashahili. Ignore List. Labda hajui , ila kuanzia sasa ajue tu kuwa akishawekwa ignore List notification zake za dislikes hazionekani kwa notification panel. 😎😎😎
  2. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    Mm sijawah kugumiana nae. Ila naonaga hizo mambo zake kwenye kila sehem akipita. kama mtu ameona hoja yako ni mfu. Aipite tu. Sasa ww kila comment yako mtu anapita na dislikes. hapana sio kweli. Akaushe tu
  3. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Ma Mzuri najua hutak watu wakujue ukoje kwasababu hutaki usumbufu. ila i cant keep calm.
  4. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    Ila huyu Mwamba amezidi. Anakupa Dislike hadi Unaweza ukadhan ana chuki binafsi. kumbe ni namna yake ya kutafuta attention. Imagine unafungua notification unakutana na dislikes 50 . Aaaah Kama humjui huyu jamaa. Kisukari kinakupanda 😎😎😎😎
  5. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Hiyo kumla Tigo ni kama alitaka kumkomoa . Na sidhan kwa sababu jamaa amekula Kisamvu basi ndio maana jamaa kadata na hiyo Pisi. Kwa uzoefu wangu, Ishu hapa naona ni moja. Demu ni mjanja kuliko Mwamba. pisi itakuwa inajua code nying za kumteka mwanaume. Na jamaa hazijui ndio maana hawezi...
  6. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Huyu ni kama win-one kabisa ila huyu kakolea rangi kidogo.
  7. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni ustadi gani unatumika hadi kupelekea mwanamke kutoa hydro kwa kasi sana na pressure kubwa?

    Unatakiwa ukojoe kabisa kabla ya Tendo. Kibofu kisiwe na mkojo Then ndio ntakufundisha na maji yatatoka. 😍😍😍😍. Kwahiyo kuna K zinaloana na kuwa na utelezi mwingi, kuna kujibana na kukojoa na kuna kubana na kutoa maji. Binafsi mm sipend hiyo ya mkojo kama mkojo. Mambo ya kulowainishana na...
  8. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni ustadi gani unatumika hadi kupelekea mwanamke kutoa hydro kwa kasi sana na pressure kubwa?

    Ni vizuri kujua kama kuna utofauti. Sasa ni hivi kila mwanamke anaweza akamwaga maji. Yale ni maji + mkojo. Naweza kusema 80% maji na 20 mkojo😋😋😋😋. Maana hayo maji maji yanakaa na kutoka sehemu inayotengeneza na kukaa mkojo. Lakin hapa kuna tofauti kidogo, Mwanamke anaweza akajilazimisa kutoa...
  9. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni ustadi gani unatumika hadi kupelekea mwanamke kutoa hydro kwa kasi sana na pressure kubwa?

    Kwa Mwanamke. Kumwaga maji (katerero) na kufika Mshindo ni vitu viwili tofauti.
  10. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni ustadi gani unatumika hadi kupelekea mwanamke kutoa hydro kwa kasi sana na pressure kubwa?

    Da Mzuri. Natamani nikujibu. Gmorning to You.
  11. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya simu na usanii kama wa baba yao CCM

    Nunua unachoona kinakufaa. Na mfanyabiashara atanunua kinachomfaa. Ila kusema wanaoset hivyo vifurushi kuwa hawana akili. Ni kukosa akili.
  12. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya simu na usanii kama wa baba yao CCM

    Sahihi. Hata device zinazotumia GPS wanahitaji sana hivi vifurushi vya internet vya bei ndogo na vinavyokaa muda mrefu. (Car tracker etc). Pia ATM huwa wana simcard zinatumia APN . Kwao matumizi ya internet ni madogo sana. Alafu kama ww unaona kifurushi hakikufai. Unanunua kikubwa zaid. Na...
  13. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Jinsi zimwi la mapenzi kinyume na maumbile linavyo act kila hatua ya maisha yako

    Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa nyuma ni kutamu kuliko mbele.
  14. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Jinsi zimwi la mapenzi kinyume na maumbile linavyo act kila hatua ya maisha yako

    Ushuhuda. Kwahiyo ww uko kwenye stage ipi?. Hiyo ya tatu au nne?.
  15. Mwaka wa Mbele

    JamiiForums Tanzania Endapo atatubu, WanaCCM tumsaidie mwenyekiti wa chama rafiki CHADEMA afutiwe kesi yake inayoweza kufanya aende jela maisha

    Hebu tukumbushe cheo chako hapo CCM. Ww ni ...?. nakukumbusha pia hicho anachopigania Lissu, Makamu wa Raisi alikiunga mkono na wakamfutia uanachama wa CCM. Sasa sijui akiongea Kidampa watamfanyaje.
Back
Top Bottom