Habari wanajf
Utafiti uliofanywa na TASISI YA TEDRO umeonyesha. Nyota ya mwigulu lameck chemba inazidi kung'ara na kufanya kuwafunika vijana wenzake ndani ya chama tawala na upinzani
Sehemu ya riport hiyo
Hayawiii hayawiii sasa yamekaribia kua hatimaye yule fisadi namba moja africa mashariki na kati Mdh. Edward Ngoyai lowasa
Jana kulikua na kikao kwa mtemi chenge area d kilichokubaliana mdh. Lowasa kutangaza nia jiji la arusha mapema mwezi huu
Baada ya kikao hicho uratibu umeanza nchi nzima...
Yule kiongozi mpenda kupiga picha na mheshimiwa raisi ili aonekane yupo karibu na raisi janja yake imefika kikomo songea baada ya uhuni anaofanya kubainika kila mara anajipeleka karibu na raisi ili apigwe picha kwenye matukio ya kitaifa leo Amepigwa stop baada ya kuwekwa mbali nyuma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.