Mwigulu Nchemba ni Simba anaeunguruma

Mwigulu Nchemba ni Simba anaeunguruma

Mwigulu Nchemba ni simba mzee.

simba akizeeka hukaa karibu sana na fisi ili aweze kupata mizoga iliyoachwa na fisi hao.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ni upepo tu subiri kimbunga cha UKAWA,halafu huwezi kumlinganisha mwigulu na sokoine ni sawa na kulinganisha usingizi na kifo.
Ukawa ishapigwa dhoroba kali na Hon Mwigulu; kiufupi Mwigulu kaipoteza Ukawa
 
Bila kusema uongo,Mwigulu anatekeleza vizuri majukumu yake kwa faida ya wananch wote.
 
Baada ya kutafakari kwa kina harakati na mienendo ya Mwigulu nchemba naibu katibu mkuu ccm bara na naibu waziri wa fedha nimegundua mwanaume Huyu ni simba. ....

Kwanza nikiri hana uadui na mtu yoyote na kwa mbali inaaminika ni Left wing wa lowasa au chaguo namba mbili iwapo lowasa ataenguliwa jina lake kamati kuu...basi atamuunga mkono mwigulu nchemba. ...

Misimamo yake maisha yake mbinu zake na harakati zake zimemfanya kua mwanasiasa mwenye nguvu katika wakati mfupi tuu. ..

Amejizolea umaarufu mkubwa katika taifa hili na kuonekana ni mwiba nje ya ccm kwa wapinzani na ndani ya ccm kwa wasaka URAIS

Hofu ya mwigulu kuingia ikulu imetanda katika kila moyo wa mwanaccm na mioyoni mwa watanzania wengi huku wengine wakiona kama miujuza

Wapo wanaohaha kujaribu kuzima moto huo lakini wanakutana na roho ngumu Yahoo mwigulu nchemba harudi nyuma wala hapunguzi ni mapambano makali ni vita nzito....

Nitumie nafasi hii kuwatakia kila la heri wanaoshinda stationary kutengeneza vyeti feki na barua feki mwisho mtapata raisi feki anaewatuma kufanya hivyo

Wanyiramba tunasema SONGERA ZIGIZIGI....

View attachment 220381
" The death around the corner" Mwigulu nae awe raisi au rahisi?watanzania tutakua wa ajabu kabisa, huyu ambae anachuki na wanahabari, wapinzani......Ni msaka tonge tu .
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.

acha kutudalilisha umoja wa walimu vijana eti tunamuunga mkono gaidi muuaji nchemba. Msitufanye cc ni kondomu enye wanaccm. Walimu tuna akili yakuchambua tena hasa tuliopita vyuo vikuu. Na mkome. Tafuteni wana ccm wenzenu ndo mseme wanawaunga mkono sio ss.
 
Mwigulu Mchemba anasiasa za kitoto sana, labda Kuna kitu anakitafuta ambacho sisi hatukijui.!
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.

Vyuo gani ? Acha ubabaishaji au chuo chako mwenyew ? Huyo hata hajafikiriwa kwa wanazuoni na kama anakubalika aje chuoni kwetu tujue upepo wake. Nipm nikuambie chuo nilichopo aje apimie kama upepo wa hapa ataweza umudu.
 
Naona wengine wanajiandalia nafac za uwaziri tuu lkn c urais. hii nchi tuseme kwa bahat mbaya haitaongozwa na UKAWA basi kweli ndo iongozwe na j. Makamba au nchembe, hii ni dharau kubwa zaidi ya hii ya jk. Urais umekuwa raisin kweli
 
acha kutudalilisha umoja wa walimu vijana eti tunamuunga mkono gaidi muuaji nchemba. Msitufanye cc ni kondomu enye wanaccm. Walimu tuna akili yakuchambua tena hasa tuliopita vyuo vikuu. Na mkome. Tafuteni wana ccm wenzenu ndo mseme wanawaunga mkono sio ss.

Mkuu pengine ni yeye mwenyewe kaanzisha UZI HUU KUJIPIMIA UPEPO WAKE!!
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.

Wale madogo wa UDOM washaa lipwa chao?
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.

Kuna wanafunzi wa vyuo vikuu siku hizi? Ni watoto wa advanced secondary school! Vyuo vikuu viliisha miaka ya 80!
 
  • Thanks
Reactions: 999
Back
Top Bottom