Recent content by mwaisabila

  1. mwaisabila

    Je, wajua nini kuhusiana na nadharia ya uwepo wa Jua la Kiroho?

    Ume eleza vizuri sana, natamani watu wenji wangepata elimu ya rencarnation ili wajue mzunguko wa nafsi na Roho zetu mpaka tunapo fikia state ya kuungana na Roho kuu or call it the source au tuseme kile kinacho shahili kuitwa MUNGU na sio hawa Miungu tubao lazimishwa kuiabudu...!
  2. mwaisabila

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Habari waungwana, naomba msaada wa mwenye uzoefu na tiba ya. Vidonda vya tumbo, mdau katumia sana za hospital bila mafanikio, nawasilisha tafadhari .
  3. mwaisabila

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Habari wadau, naomba msaada kwa mtu anaye sumbuliwa na mafindo findo sugu/tonses amesha tumia sana dawa za hospital ila tatizo lina tulia na kujirudia
  4. mwaisabila

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    1 Timotheo 4: 1 Timothy 1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 1 Now the Spirit expressly says that in latter times some will depart from the faith, giving heed to deceiving spirits and...
  5. mwaisabila

    Kiingilio cha madhabahu za giza

    Aksante ndugu hapa ume maliza kitu, Ni damu ya yesu tu na neno ndo ngao yetu, sadaka na dhabiu
  6. mwaisabila

    Nipeni connection ya dalali anaeuza gari used kwa bei nafuu sana

    Nenda. Page ya instagram ya jamaa ana itwa sossy_magari
  7. mwaisabila

    Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

    Samahani haya majani huwa yana harufu flani nzuri sio...? Na hua yana oteana sana na yana vitu kama vimiba huwa vina ganda kwenye nguo unapo pita au kuyagusa. M2baki,
  8. mwaisabila

    Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

    Ina itwa IMORTALS Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mwaisabila

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna wimbo nautafuta ila bahati mbaya hata bendi iliyo imba siikumbuki, ingawa kuna baadhi ya mistari naikumbuka kama kuna mtu anaweza kuwa na kumbukumbu ya huu wimbo tafadhari, nisaidie Mstari una imbwa kama ivi " Maisha sasa ni magumu ina tubidi tuya bane matumiziii" Maisha sasa ohoo...
  10. mwaisabila

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Vipi kuhusu jardin wa monaco, Attack minded, ana jua kukuza vipaji na uzoefu wa zaidi ya miaka 15 kqwe ligi kubwa duniani
  11. mwaisabila

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hebu tusome na huu walaka ni mrefu ila hauta jutia, unatupa picha ni jinsi gani mashabiki wa man utd wanavyo jiskia kwa sasa na nafasi ya morinho kama manager wa team, tafadhari pitia. Jose Mourinho out of ideas, out of excuses and should be out of a job at Manchester United Alex Shaw General...
  12. mwaisabila

    Miliki nyumba nzuri na ya kisasa kwa gharama nafuu kabisa

    Oky Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mwaisabila

    Miliki nyumba nzuri na ya kisasa kwa gharama nafuu kabisa

    Hapana kwa sasa hii huduma hatutoi, tumesha sumbuana sana na wateja kuhusu malipo na bado kuna ishu za kisheria zina endelea mahakamani. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. mwaisabila

    Miliki nyumba nzuri na ya kisasa kwa gharama nafuu kabisa

    Gharama zetu zipo standard labda kama tuta pata kazi mbali sana ba mjini otherwise gharama zetu zipo standard iwe dar au mkoani, kwa room nne ita kugharimu 300 Millions za kitanzania Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom