Recent content by MwaikamboN

  1. M

    Naitaji kulipwa fedha zangu za NSSF, msaada tafadhali

    Ebwana hebu wacheki Facebook, Twitter au Instagram @nssftz hao jamaa wapo fasta sana
  2. M

    NSSF Mwanza punguzeni urasimu mnawasumbua wateja wenu

    Hebu tujadili hili linalotuhusu wote🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️ Tusome hii picha na tutafakari kwa pamoja
  3. M

    Msaada: Jinsi ya kutuma maombi ya kazi NSSF

    Mjombaa hiyo post tumeshaambiwa ya ndani fanya vitu vingine vya tija naona unaendelea kupoteza muda wako
  4. M

    Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Nimeona hii kitu mdau pamoja na kuweka vifungu vyako vya Sheria hapa Samahani kidogo, wajumbe kuna kitu kinanitatiza hapa kidogo, inamaana hii taarifa sote tunaandika sana hapa hivi hatuoni kilicho andikwa , tuwe tunasoma vizuri kabisa ili tusipotoshe umma
  5. M

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Kweli wakati mwingine zinanichanganya sana Hizi dawa jamani eeeh
  6. M

    Msaada: NSSF fao la uzazi

    Hiin ndio kazi iendelee yani Serikali ina unyama mwingi sana
  7. M

    Msaada: NSSF fao la uzazi

    Kwa ninavyoelewa suala hili halihitaji mbamba wala mambo mengi mwanachama anakuwa na sifa za kupata Fao la Uzazi, Lakini nasikia Mwanachama hiyo huyo Akikaa zaidi ya siku 86 baada ya kujifungua na hajafungua madai anakuwa hana sifa ya kupata yale mapene ambayo ni mishahara yake ya miezi mitatu...
  8. M

    Mwananchi waomba radhi, wasema mchakato zabuni uuzaji mradi wa Dege waendelea

    Muktasari: Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba amesema thamani ya mfuko huo imeongezeka na kwamba, fedha za wanachama ziko salama. Dar es Salaam. Mchakato wa kumsaka mzabuni kwa ajili ya uuzaji wa mradi wa Dege Eco Village uliopo Kigamboni, Dar es Salaam...
  9. M

    NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

    Hawa jamaa wa NSSF mi naweza sema niwajanja sana aisee, mnakumbuka katika issue ya Malkia wa Nguvu pia, walitumia mbinu kama hii kuwafikia kundi ambalo pia linatakiwa kuwa na Hifadhi ya Jami, yaani sekta isiyo rasmi hivyo kama utaratibu wa kawaida nao walichukua package ya Airtime na kuwafikia...
  10. M

    Swali kuhusu NSSF kwa waliowahi kulipwa fao la kukosa ajira

    Nijuavyo ni kwamba ukiona akaunti yako inasoma 0.00 kwenye taarifa zako "Statement" hiyo inamaanisha kuwa mtu hiyo amekwisha lipwa stahiki zake, sasa mpaka Fedha ziingie katika akaunti yako itategemea na uharaka wa benki husika kuweka fedha katika akaunti yako, hata hivyo wanasema inachukua siku...
  11. M

    Msaada kuhusu NSSF

    Nijuavyo ni kwamba ukiona akaunti yako inasoma 0.00 kwenye taarifa zako "Statement" hiyo inamaanisha kuwa mtu hiyo amekwisha lipwa stahiki zake, sasa mpaka Fedha ziingie katika akaunti yako itategemea na uharaka wa benki husika kuweka fedha katika akaunti yako, hata hivyo wanasema inachukua siku...
  12. M

    Unaweza kuangalia kama hela yako inawekwa NSSF kwa njia ya mtandao?

    Mimi pia nilikuwa na shida kama yako ila kuna jamaa yangu alinirushia kipeperushi na sasa naweza ona taarifa zangu hii inaweza kukusaidia wewe na wadau wengine,kikubwa namba yako uliyojisajilia NSSF iwe active. Na urahisi zaidi ni kwa njia ya whatsapp unasave namba hii na u save kama NSSF...
Back
Top Bottom