nimepitia comment nyingi kweli kunawatu hawaku stahili kuwa humu jf kabisa we mtu amekomaa tu udogo wa nchi udogo wa nchi huu ni upuuzi Malawi je Burundi je Togo je hivi kwa nini watu wanaungana? mfano EA watu ni rasilimali ndo maana US walipoungana nchi ikawa vile China etc ona Uk ni...
huyu jamaa nahisi kaamua liwalo na liwe tu ni aibu kwa Rais kuongea yale kwani hata mtoto mchanga anaweza kuelewa shem on them kama si za uma waziri mkuu aliagiza uchunguzi kwa niaba ya nani na kama ni hivyo kwa hiyo mkweli ni nani je ni Muhongo, CAG, PAC au bunge aloooo huyu jamaa hamna kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.