Recent content by MWAIBABILE

  1. M

    Jinsi ya kumzunguka Dalali

    umesema kweli kaka
  2. M

    Vurugu bungeni zasababisha Bunge kuahirishwa asubuhi hii

    its true msemavyo Tunahitaji mabadiriko kwa kweli hawa jamaa wamelewa madaraka
  3. M

    Kwanini kila kitu kizuri ni Rwanda tu?

    nimepitia comment nyingi kweli kunawatu hawaku stahili kuwa humu jf kabisa we mtu amekomaa tu udogo wa nchi udogo wa nchi huu ni upuuzi Malawi je Burundi je Togo je hivi kwa nini watu wanaungana? mfano EA watu ni rasilimali ndo maana US walipoungana nchi ikawa vile China etc ona Uk ni...
  4. M

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    huyu jamaa nahisi kaamua liwalo na liwe tu ni aibu kwa Rais kuongea yale kwani hata mtoto mchanga anaweza kuelewa shem on them kama si za uma waziri mkuu aliagiza uchunguzi kwa niaba ya nani na kama ni hivyo kwa hiyo mkweli ni nani je ni Muhongo, CAG, PAC au bunge aloooo huyu jamaa hamna kitu...
  5. M

    Alichofanya Jk kwa Escro alipaswa kufanya hivyo hivyo kwa Richmond.

    huyu jamaa ametumaliza hana hata la kukumbukwa nalo sijui tulimtoa wapi
  6. M

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    usilolijua ni sawa na usiku wa giza
  7. M

    Babu Seya kuachiwa huru na Kikwete?

    hilo nalo neno! watu waliohukumiwa na kuthibitishwa na mahakama waliachiwaje?
  8. M

    Mama Rwakatare CCM amefikishwa Polisi kwa kosa la Kubomoa Nyumba

    mbona mi sioni kosa lake jamani kumbe alishapewa million tano ingawa si kiwanja chake ungekuwa wewe ungefanyaje?
  9. M

    Bunge usiku huu limesema kesho mjadala kuhusu escrow upo pale pale

    hawa jamaa mi sijui wamepanga nini jamani
Back
Top Bottom