Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,512
We kweli mkirua!!ndege anayotumia rais wako ili dalaliwa,sembuse vyumba vya kupanga!!!!
Si ndio maana tukaingizwa choo si chenyewe?
We kweli mkirua!!ndege anayotumia rais wako ili dalaliwa,sembuse vyumba vya kupanga!!!!
Kiukweli hawa jamaa wababoa na kila kukicha wanazidi kuongezeka na kujikita kila mahali. Hata sokoni ukienda mkulima/mfanya biashara hana nafasi ya kuamua bei bali madalali.
Siwapendi na nikishajua na deal na dalali siendelei tena na hiyo biashara.
Najua hata humu wapo, hapo juu nimewasoma na nitaendelea kuwasoma lakini siwapendi. Jitu zima linakaa mjini halifanyi kazi unasubiri mtu ahame uanze kudalalia chumba. Jenga yako.
Ujinga tu nyumba au kiwanja changu nikitaka kupangisha au kuuza naweka no zangu hazarani kwishakazi....
Labda kama hicho kiwanja hakijakamatwa na dalali mzoefu. Dalali mzoefu huwezi kumzunguuka kitoto hivyo!..yeye ndio anamiliki kiwanja na mwenye mali anamsikikiza yeye!..mikataba yote anatengeneza dalali na mwenye mali anasikiliza tu! Wewe umekutana na dalali underground
Mleta mada umeleta jambo zuri ...Ingawa kuna mapungufu makubwa juu ya ushauri wako wa kumzunguka aliyekusaidia kutatua maswaibu uliyonayo ...Njia ya kuzungukana inaudhi na inaamsha hisia za kumdharau na kumkejeli aliyepoteza muda wake kwa matumaini anafanya jambo likalomwezesha mwisho wa siku akapata chochote , kumbe wewe unamtumia kupata malengo yako kwa khadaa..una mawazo mabaya na hayana tija kwa maendeleo.,nimesema jambo ulilolianzisha ni zuri kwa maana ya kuwa madalali wanamchango mkubwa katika maendeleo na shughuli za kila siku za wanadamu...ndio maana kwenye biashara za kimataifa bila dalali huwezi kufanya biashara ,dalali ana uwezo wa kufanikisha biashara au kuihujumu...iwe hata ndogo kiasi gani...,,..kwa mantiki hiyo ingependeza basi serikali ingelifanyia kazi kwa kuwapa elimu stahiki ya udalali wahusika, na kuweka sheria kwa kuziboresha zilizoko pia wawe na ofisi maalum zitakazokuwa sehemu husika kwa malengo ya kuwatambua madalali halali, kwa mfano kama ni biashara za mboga mboga n.k sokoni kariakoo..au kama ni mahindi, tandale soko la mahindi n.k aliradi kunawekwa mpango mzima wa kuboresha mahitaji baina ya muuzaji na mnunuzi,kumbuka udalali ni AJIRA kamili.. Kazi za udalali zinapaswa kuboreshwa ili kuondoa na hata kuzuia utapeli usiwepo baina ya muuzaji na mnunuzi...
sema hiyo ni kesi broo akijua hyo dalali coz lazima ulipie nauli ya kukuonyesha eneo
Ukitaka amani tafuta hicho kiwanja bila kumhusisha dalali. Ukimwingiza kwenye dili then utafute kumzunguka unalitafuta balaa mjini. Labda awe dalali learner