pinda alilia cku ile alivyokatwa kwnye kamati ya maadili huku akikumbuka kwamba ameshauriwa Mara ngapi agombee urais lakini anakatwa kwenye kamati ya maadili tafsiri ikiwa hana maadili? waziri Mkuu miaka nane hana maadili? na bilal kmya
pombe inarudisha nyuma maendeleo? wabunge walilia sana kodi iongezwe kwenye pombe na sigara na si mafuta,wakitambua kwamba ndo kimbilio siku zote la bajeti ya Tanzania wee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.