HALI NGUMU YA UCHUMI KWA MTU BINAFSI HUJA NA PACKAGE:
1. Kutengwa
2. Kutosikilizwa
3. Kudharauliwa
Tukubaliane na hali halisi na tuishi Kwa matumaini ktk msalaba huo.
Sijui huwa wanalenga nn kuwashindisha kutwa nzima shule, saa 12 hadi 12 jioni. Miaka ya 1990 tumesoma Kwa raha na nafasi, ukiingia asubuhi, mchana unarudi nyumbani. Ukiingia mchana, jioni unarudi nyumbani.
KE wa namna hii wanadhani michakato ya upatikanaji pesa inafanana kati ya mtu na mtu. Ndio maana akiona upo disciplined na pesa wanakuja na slogan ya 'UBAHILI'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.