Recent content by Mwafrikamtanzania

  1. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania HESABU kitu cha ajabu

    Ngoja na yeye aje na Mathematical Modelling au Analytical Calculus😄
  2. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Hali ngumu ya uchumi anayoipitia mtu inaweza kuwa sababu ya kutengwa?

    HALI NGUMU YA UCHUMI KWA MTU BINAFSI HUJA NA PACKAGE: 1. Kutengwa 2. Kutosikilizwa 3. Kudharauliwa Tukubaliane na hali halisi na tuishi Kwa matumaini ktk msalaba huo.
  3. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Kwanini homework za Wanafunzi zinafanywa na Wazazi? Punguzeni ujuaji

    Hatari sana. Wazazi wanakwepa sana na hawapendi kuhusu mtoto kucheza wakidhani mtoto anapoteza muda kujifunza taaluma.
  4. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Hivi unajiskiaje age mates wako wote kuona wanaoa?

    Ni wakati wao umefika. Sio wakati mmoja Kwa maamuzi ya wote.
  5. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Kwanini homework za Wanafunzi zinafanywa na Wazazi? Punguzeni ujuaji

    Sijui huwa wanalenga nn kuwashindisha kutwa nzima shule, saa 12 hadi 12 jioni. Miaka ya 1990 tumesoma Kwa raha na nafasi, ukiingia asubuhi, mchana unarudi nyumbani. Ukiingia mchana, jioni unarudi nyumbani.
  6. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Walimu wa Biashara (Business Studies) Tanga tuliahidiwa kuendelezwa kimasomo, sasa hivi wanatukataa

    Hakika. Hapo wakasome tu PGDE, wakimaliza wanathibitishwa halafu mbele ya safari waombe re-categorizatio. Nadhani wengi wao wanakosa ushauri.
  7. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Hivi Nini kinapelekea walevi ( wakishalewa ) kulia, hasa zikipigwa nyimbo za gospel

    Umekula lager zako halafu unakutana na MISULI YA IMANI ya Ambwene Mwasongwe...lazima ulie tu
  8. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe; huu udongo wa Wasira na Warioba sio wa Dunia hii!!

    Makamba ni 87. Wanasiasa wanasoma namba kubwa ya umri.
  9. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Kwamba umepiga PCB , cbg hasa kwa nyie madaktari wamifugo , kwamba mnakosa pesa ?

    Wanaelewa basi?? M.D tu ndio chaguo pao pekee. Wakikosa ni BSc. Education
  10. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu kaanzisha biashara, kila wiki anataka nimuungishe, imekuwa kero!

    KE wa namna hii wanadhani michakato ya upatikanaji pesa inafanana kati ya mtu na mtu. Ndio maana akiona upo disciplined na pesa wanakuja na slogan ya 'UBAHILI'.
Back
Top Bottom