Recent content by Mwafrikamtanzania

  1. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania “Uchuuzi” Biashara zinazowalemaza Watanzania

    Daah. Pole yake...yaani wanaotakiwa kumpa support ndio wanammaliza na kumdidimiza. Waafrika tuna roho mbaya sana.
  2. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni Star Employment Service TZ nirejesheeni 11.2M nilizowapa mnitafutie ajira nje

    Bongo FURSA huwa haziishi...ni akili yako tu kuvuna Hela! Huyu Dada amekuwa fursa Kwa hiyo kampuni
  3. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni Star Employment Service TZ nirejesheeni 11.2M nilizowapa mnitafutie ajira nje

    Ndugu yangu wa kike aliambiwa mzigo wake umetumwa Airport Zanzibar. Akawa anahangaika kutafuta hela ya kutuma ili aletewe mzigo. Rafiki yake alinisanua, ikabidi nimuambie kuwa upo ktk process za kutapeliwa....akawa anabisha sababu anadai jamaa yake 'Mzungu' wamekutana mtandaoni siku nyingi ndiye...
  4. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, zipi faida za kuwa na bwawa kubwa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) ikiwa Unit 1 ya Umeme wateja wa T1 tunatozwa Sh 292?

    Inasikitisha. Shirika lina wateja lkn mambo bado yapo namna hiyo. Nadhani ni Kwa sababu hakuna ushindani
  5. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Hii kitu ya mabasi yote kuhamia stendi ya Magufuli imeumiza wengi

    Kweli hii ni ngumu kumeza!
  6. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Hii kitu ya mabasi yote kuhamia stendi ya Magufuli imeumiza wengi

    Kama ni hivi basi ingebaki namna hii. Mabasi yaingie Magufuli B.T then ndiyo yaende huko ofisi za nje ya terminal ili kuwe na win-win situation.
  7. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?

    Nimekupata vyema.
  8. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Hii kitu ya mabasi yote kuhamia stendi ya Magufuli imeumiza wengi

    Hii ishu ni changamoto Kwa sababu Dar es Salaam ni Jiji 'tata'. Kila sehemu ya Dar es Salaam Ina makazi ya watu wengi sana kulinganisha na miko mingi. Itafutwe suluhu nzuri, mfano, gari zianzie safari Magufuli Bus Terminal, pia zinapotoka mikoani ziingie Magufuli Bus Terminal halafu waombe...
  9. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?

    Faida ni zipi za kujenga mwezini?
  10. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

    Amekosa weledi kabisa...ameigharimu Simba SC. Nashon au Kagoma mmojawapo namuona akiingia kipindi cha pili.
  11. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Ndio maana binadamu haliwi
  12. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Wale rasmi ni SPECIAL GROUP kama alivyosema mdau fulani humu JF
  13. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Umewahi tumia pombe?
  14. Mwafrikamtanzania

    JamiiForums Tanzania Kakopa hela aende Kizimkazi asionekane Msaliti. Ujinga

    Kambale wa Kisarawe!?? 😄
Back
Top Bottom