Ndugu yangu wa kike aliambiwa mzigo wake umetumwa Airport Zanzibar. Akawa anahangaika kutafuta hela ya kutuma ili aletewe mzigo. Rafiki yake alinisanua, ikabidi nimuambie kuwa upo ktk process za kutapeliwa....akawa anabisha sababu anadai jamaa yake 'Mzungu' wamekutana mtandaoni siku nyingi ndiye...
Hii ishu ni changamoto Kwa sababu Dar es Salaam ni Jiji 'tata'. Kila sehemu ya Dar es Salaam Ina makazi ya watu wengi sana kulinganisha na miko mingi. Itafutwe suluhu nzuri, mfano, gari zianzie safari Magufuli Bus Terminal, pia zinapotoka mikoani ziingie Magufuli Bus Terminal halafu waombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.