Wakuu salama,
Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT) kusomea kozi ya Stashahada ya Uhandisi wa Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil...
Wakuu salama,
Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT) kusomea kozi ya Stashahada ya Uhandisi wa Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil...
Habari za muda huu wanajf ,
Kuna msemo wa Kiingereza unasema, "The world belongs to those who read." Katika ulimwengu wa sasa ambao taarifa (information) zinapatikana kwa wingi, uwezo wa kuchuja taarifa hizo na kuzibadilisha kuwa maarifa (knowledge) ndiyo unaotofautisha kati ya mtu anayepiga...
Habari za muda huu wanajf ,
Kuna msemo wa Kiingereza unasema, "The world belongs to those who read." Katika ulimwengu wa sasa ambao taarifa (information) zinapatikana kwa wingi, uwezo wa kuchuja taarifa hizo na kuzibadilisha kuwa maarifa (knowledge) ndiyo unaotofautisha kati ya mtu anayepiga...
📚 Karibu kwenye Group la Wasomaji wa Vitabu Tanzania 🇹🇿
Unapenda kusoma vitabu? Unataka kuongeza maarifa, kuhamasika na kushirikiana na wasomaji wengine?
Hili ndilo jukwaa sahihi kwako!
👉 Jiunge nasi hapa:
Group la Wasomaji wa Vitabu Tanzania
WASOMAJI WA VITABU TANZANIA (Great Thinkers)...
Nimeelewa kuhusu ugumu wa kuingia Lugalo, gharama zake, na hali ya mkopo. Nashukuru pia kwa kupendekeza vyuo mbadala kama Mbeya, Iringa, Tanga na Bulongwa.
Nitajikita kwenye masomo ili nifaulu vizuri na pia nianze kufuatilia vyuo vingine vya serikali kwa ajili ya kuhama.
Nawashukuru sana kwa...
Habari wakuu, naomba msaada
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika kozi ya diploma in Clinical Dentistry nikiendelea na masomo yangu katika Kigamboni City College of Health and Allied Sciences. Ni mnufaika wa mkopo kutoka HESLB.
Kutokana na gharama kuwa nyingi chuo hiki Cha private Nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.