Recent content by Mwacheni Bubu Aseme

  1. M

    Mengi: Ni lazima tuwapeleke baadhi ya watu Milembe kwa nguvu!

    Kwa hiyo unadhani Mengi aliwahonga The Forbes hata kum rank namba mbili Tanzania? Yani waafrika watu wa ajabu sana!!!! Watu wanafanya tafiti for years,lakini mtu unakaa kwenye key board na kuamua kubisha kwa hisia tu!!!
  2. M

    Jaji Kiongozi:Kesi zote zinazofunguliwa sasa kumalizika ndani ya miaka miwili

    Judiciary nayo imetumbukia kwenye siasa za "kutoa maagizo",huku idadi ya mahakimu na majaji ikibaki ile ile!
  3. M

    Richard s. mabala(----- WA NGONO)

    Uchambuzi murua huu toka kwa mwanafasihi mkongwe, R.S.Mabala
  4. M

    Ten most powerful people in Tanzania!

    May his Id rest in server
  5. M

    Mengi: Ni lazima tuwapeleke baadhi ya watu Milembe kwa nguvu!

    Kama tutaendelea kuwa na akili mgando namna hii,bado tuna karne nyingi za kuwa watumwa duniani! Au mnasubiri FORBES waje kutwambia Mengi ana mtaji wa kuwekeza ndio muamini?
  6. M

    Ten most powerful people in Tanzania!

    Mbona umeguna Nyani Ngabu? The Boss,can you update the list?
  7. M

    Mimi ningekuwa.

    If wishes were horses,dah!
  8. M

    Tanzania Daima limejiweka katika mazingira ya kufungiwa

    Kisheria mtoto wa miaka 14 hana uwezo wa kuamua kuwa na uhusiano wa kimapenzi,hvyo,hata kumtongoza hutafsiriwa kuwa ni "kumrubuni" na adhabu yake ni sawa na ubakaji wowote mwingne.
  9. M

    Kama Mbowe na Zitto watabaki CHADEMA njooni mchukue kadi yenu

    Hii Idea ya kuhusisha CHADEMA na Mungu ni uvivu wa kufikiri.
  10. M

    '' mke wangu ame-lock simu yake kwa security code " .... Nahisi kitu ila nashindwa mwambia!!

    Kwani si ungesema tu kuwa ni wewe,ili usaidiwe kwa karibu zaidi?
Back
Top Bottom