Kwa hiyo unadhani Mengi aliwahonga The Forbes hata kum rank namba mbili Tanzania?
Yani waafrika watu wa ajabu sana!!!!
Watu wanafanya tafiti for years,lakini mtu unakaa kwenye key board na kuamua kubisha kwa hisia tu!!!
Kama tutaendelea kuwa na akili mgando namna hii,bado tuna karne nyingi za kuwa watumwa duniani!
Au mnasubiri FORBES waje kutwambia Mengi ana mtaji wa kuwekeza ndio muamini?
Kisheria mtoto wa miaka 14 hana uwezo wa kuamua kuwa na uhusiano wa kimapenzi,hvyo,hata kumtongoza hutafsiriwa kuwa ni "kumrubuni" na adhabu yake ni sawa na ubakaji wowote mwingne.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.