Kwa upande wangu naungana na Zito kupinga ongezeko hili la posho, kwa ujumla issue sio kiasi wanachopata, issue ni utaratibu uliotumika, kwa hali hii hawatakuwa na uhalali wa kuwahoji wakina Jairo na wenzao kwani posho hizi hazikuwa kwenye bajeti ya mwaka husika na pia hazina idhini ya Raisi...